M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Naam Sheikh. Zama za Wavaa kobazi hiziKwa hiyo umefurahi?
Wasukuma wana faida ya kuwa na idadi kubwa ya watu na JPM aliwabeba vilivyo, Kisukuma kilikuwa kinakaribia kuwa lugha rasmi maofisini. Wachaga wapo kila mahali na usitarajie wapotee mstari wa mbele karne za hivi karibuni.Lenye mwanzo halikosi mwisho, wachaga sasa hivi wako hoi kila sekta.
Habari ya mjini sasa hivi ni Wasukuma na wakinga
Cate aboreshe huduma Tu Majengo/mabasi anayo tayariSawa
Korogwe Hotel Pale Wampe Mtu Mwingine Aiendeshe Chap
CATE HOTEL Morogoro Anajitahidi Mno
Vijana weusi nap ni shida tupuWatu weusi sio wazuri kwenye kupokezana na kurithi shana kampuni
Mzee mremi wa dar express ameshfafikia umri wa kustaafu zamani sana.. alipaswa kumuachia mwanae aongoze biashara
Baba yake na mo dewji mzee gullam dewji bado yupo hai ila alishamuachia mo biashara zamani
Bakhressa nae hivyo hivyo
Vijana weusi nap ni shida tupu
Blacks tunachoweza kurithishana vizuri ni wake tu.Watu weusi sio wazuri kwenye kupokezana na kurithi shana kampuni
Mzee mremi wa dar express ameshfafikia umri wa kustaafu zamani sana.. alipaswa kumuachia mwanae aongoze biashara
Baba yake na mo dewji mzee gullam dewji bado yupo hai ila alishamuachia mo biashara zamani
Bakhressa nae hivyo hivyo
Wataje Wapare hapo wawili wenye mabasi KaskaziniMimi naona Wapare ndio miamba wa biashara ya mabasi njia ya Kaskazini.
Kapripon na OsakaWataje Wapare hapo wawili wenye mabasi Kaskazini
Mpare yupi ana mabasi siku hizi ya Dar - ArsMimi naona Wapare ndio miamba wa biashara ya mabasi njia ya Kaskazini.
Hawa ndio miamba ya ma bus kaskazini?Kapripon na Osaka
Sasa hizo NI basi au makopo?Kapripon na Osaka