Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Nimesema hivi Wachaga wana jambo lao na halijaisha tuwaache
 
Ivi nyie mnao generalise wachaga wana roho mbaya niwaulize kwani ni Wachaga wamechoma iyo nyumba? Mbona mnatuonea mimi hata siwafahamu ao ila mshanihusisha kweli hii ni sawa?
Kama ni mchaga we jua umehusika mkuu (umewakilishwa)[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Itabidi wanaume tutengenezewe vi Fire Extinguisher vidogo vya kukaa mfukoni.😂😂
 
Kuna jamaa alimchoma mkewe kwa magunia mawili ya mkaa.

Tukiambiwa kisasi cha mwanamke ni funga kazi tuelewe.

A sane person will commit a crime huku ana plan ya kutojulikana just like anko wa magunia mawili but this lady? She just burnt the whole house with zero fvcks on getting caught.
Huo ni mtazamo wako, kila mmoja anaamini kivyake ndugu!
 
Mwanamke akilipa kisasi dunia na watu wake huwa vinasimama kwanza kusikilizia uzito wa hilo tukio. Mwanamke majeruhi ni sawa na mbogo aliyechaji
Huo ni mtazamo wako, vizuri lakini. Mimi mbona huwa sisimami na kushangaa?
 
Wanatabia za ajabu sn hao watu, babu yangu alioa mchagga alikiwa anafanya kazi bank ya post kipindi huko ipo yenyewe tu nadhani, babu alichuma Mali za kutosha limama la kichaga (mkewe) alimuua kisha kutaifisha kila kitu na kukimbilia America miaka ya 90, binafsi kanda ya huko siwezi kuoa.
Makabila mengine ni ya ki$€nge sana!
 
Huyo ndo mwanamke akizidiwa sasa...

Mpaka kuona kafikia hatua hii ujue huyo jamaa alimfanyia vitu visivyoelezeka[emoji848]kiasi kwamba mwanaume hawezi kuvumilia!

Sasa hiyo ya kuua kikatili ni moja, kisasi kingine kibaya zaidi ya hiki huwa wanakifanya na wanaume hata hawajastukia[emoji849][emoji848] BAK unakumbuka ile mada ya visasi tuliizungumzia kwa uzi wa "I missed my wife" ni just mchana wa jana tulikuwa tukiongelea haya we ukaleta blah blah za sijui kisasi cha mwanamke ni kugongwa nje ovyo ovyo, of course atafanya hiyo, lkn bado moyo wake unakuwa haujaridhika! Mojawapo ya visasi vikubwa na vya kikatili ni kama hilo la petrol na kuna lingine tena kuubwa baba lao [emoji16][emoji16]

BAK
Lipi hilo lingine kubwa???
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nilitamani tu Tena na utoto ule ningekuwa neema Sasa hivi ila nilivokuwa nikasema kila mtu afanye atakacho no attachments at all.ukiona mkeo anakufumania ana kuvumilia be careful my friend wanawake sisi ni hatari mno
Acha kujisifia upumbavu ww, hatar ya nyoko au?? Hatar gani au kwa jambo gan jipya unajiita hatar? #HuoNiUshamba
 
Back
Top Bottom