Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hivi UFOO SARO naye wa wapi vile..!??Wachaga wa Machame wamefanya tukio tena. Rip mwana tulimshauri sana juu ya wanawake wa kichaga akakaiidi. Ona sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi UFOO SARO naye wa wapi vile..!??Wachaga wa Machame wamefanya tukio tena. Rip mwana tulimshauri sana juu ya wanawake wa kichaga akakaiidi. Ona sasa.
Hongera...!!!Ingawa Grace atasota jela au kunyongwa binafsi nimefurahia alichokifanya.
Kwani Gire mwenyewe si alikuwa mchepuko..!!?Huruma niliyo nayo siwezi hata mchapa mtu kofi naanzaje kuwaza kuchoma moto?
Ukute aliona sms ya mchepuko akimsifia alivyo mtamu😂😂😂😂😂
Kwani mwanaume anakuwa na na mchepuko mmoja?Kwani Gire mwenyewe si alikuwa mchepuko..!!?
Wivu wa kuchoma nyumba anakuwa nao mke tuKwani mwanaume anakuwa na na mchepuko mmoja?
Hivi UFOO SARO naye wa wapi vile..!??
Yanayofanana na ya Gire pale Amana, Ilala DarAlifanyaje?
Yanayofanana na ya Gire pale Amana, Ilala Dar
Kama ni mchaga we jua umehusika mkuu (umewakilishwa)[emoji3][emoji3][emoji3]Ivi nyie mnao generalise wachaga wana roho mbaya niwaulize kwani ni Wachaga wamechoma iyo nyumba? Mbona mnatuonea mimi hata siwafahamu ao ila mshanihusisha kweli hii ni sawa?
Kama ni mchaga we jua umehusika mkuu (umewakilishwa)[emoji3][emoji3][emoji3]
Pole nyingi kwa wafiwa.Kwenye kiroba tu ulitosha,amezikwa na mkeka jana!
😆[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hilo neno kuna member kule kwenye Uzi wa Rikiboy(Masihara) alileta kisa chake akalitumia..Nimemsahau jina..
Kuanzia hapo likawa Maarufu humu JF..
Huo ni mtazamo wako, kila mmoja anaamini kivyake ndugu!Kuna jamaa alimchoma mkewe kwa magunia mawili ya mkaa.
Tukiambiwa kisasi cha mwanamke ni funga kazi tuelewe.
A sane person will commit a crime huku ana plan ya kutojulikana just like anko wa magunia mawili but this lady? She just burnt the whole house with zero fvcks on getting caught.
Huo ni mtazamo wako, vizuri lakini. Mimi mbona huwa sisimami na kushangaa?Mwanamke akilipa kisasi dunia na watu wake huwa vinasimama kwanza kusikilizia uzito wa hilo tukio. Mwanamke majeruhi ni sawa na mbogo aliyechaji
Makabila mengine ni ya ki$€nge sana!Wanatabia za ajabu sn hao watu, babu yangu alioa mchagga alikiwa anafanya kazi bank ya post kipindi huko ipo yenyewe tu nadhani, babu alichuma Mali za kutosha limama la kichaga (mkewe) alimuua kisha kutaifisha kila kitu na kukimbilia America miaka ya 90, binafsi kanda ya huko siwezi kuoa.
Lipi hilo lingine kubwa???Huyo ndo mwanamke akizidiwa sasa...
Mpaka kuona kafikia hatua hii ujue huyo jamaa alimfanyia vitu visivyoelezeka[emoji848]kiasi kwamba mwanaume hawezi kuvumilia!
Sasa hiyo ya kuua kikatili ni moja, kisasi kingine kibaya zaidi ya hiki huwa wanakifanya na wanaume hata hawajastukia[emoji849][emoji848] BAK unakumbuka ile mada ya visasi tuliizungumzia kwa uzi wa "I missed my wife" ni just mchana wa jana tulikuwa tukiongelea haya we ukaleta blah blah za sijui kisasi cha mwanamke ni kugongwa nje ovyo ovyo, of course atafanya hiyo, lkn bado moyo wake unakuwa haujaridhika! Mojawapo ya visasi vikubwa na vya kikatili ni kama hilo la petrol na kuna lingine tena kuubwa baba lao [emoji16][emoji16]
BAK
Acha kujisifia upumbavu ww, hatar ya nyoko au?? Hatar gani au kwa jambo gan jipya unajiita hatar? #HuoNiUshamba[emoji23][emoji23][emoji23] nilitamani tu Tena na utoto ule ningekuwa neema Sasa hivi ila nilivokuwa nikasema kila mtu afanye atakacho no attachments at all.ukiona mkeo anakufumania ana kuvumilia be careful my friend wanawake sisi ni hatari mno