Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
We mbona muongo? Huyo ambae awezi nyanyua mkono ni mgonjwa, akuna mawanaum mzima wa afya ambae akimaliza anashindwa kunyanyua mkono, neverWengine wakimaliza hawawezi hata kunyanyua mkono[emoji23][emoji23][emoji23], na huenda Grace alimpa na akampa tena!
Kina Hawa ni viumbe hatari sana!
Hakun kitu kama icho, upuuzi tu, what is 'kaskazini'? Akuna maajabu yoyote zaid ya kuishi kwenye nadharia tu, wa kawaida mnoo, zaidi ya mnooWaogope Kaskazini wote..
Kuna siku watakufanya kitu mbaya[emoji3]
Aaa wapi ww, ww unaongea kwa sabb una njaa na una stress 2Sasa jichanganye hata kwa mzaramo ndo utaelewa ukishakua mkavu kama kuti saa hiyo. Munapenda wanawake wanyonge muwaonee na kuwanyanyasa. Wengine makwao wamelelewa kwa upendo, confidence. Kujiamini na kujua haki zao. Akakutane na wewe kirambasi unamnyanyasa akuvumilie tu awe submissive siyo? Umpige akuangalie tu, umtukane akae kimya tu. Jichanganye ndk utaelewa
Wee nawe[emoji706]Aaa wapi ww, ww unaongea kwa sabb una njaa na una stress 2
Huyo rafik ako hakuogopa kukuami na kukuambia hayo kwel?Bora tuwaambie wapone bana wengi wameuliwa kimya kimya Kuna dada nilikutana naye akasema mume wake ana msumbua alimtaftia sumu Ina mkula taratibu na kalazwa muhimbili anajifia. Mapenzi ni hatari Sana mapicha yakizidi zidi heri mutengane hata kwa mda
OMG na wote ni Wachagga?Kuuliwa kwa sumu kimya kimya...Sinza wajane wote waume zao wamekufa vifo vya kimaajabu
Hata wewe nitakuchoma mshikaki ukinichezea kwa mambo ya utopolo topoloAcha kujisifia upumbavu ww, hatar ya nyoko au?? Hatar gani au kwa jambo gan jipya unajiita hatar? #HuoNiUshamba
Hakuogopa alikuwa na machungu tele tele moyoni na alishatekekeza na bwana alikuwa kalazwa muhimbili haijulikani anachoumwa loh.Huyo rafik ako hakuogopa kukuami na kukuambia hayo kwel?
Mulembo wewe n muzuliWee nawe[emoji706]
Nilikugongea hodi mpuuzi wewe unipe chakula?
Yaani b4 hujanichoma, nitawafanyia unyama ww na ndugu zako wote plus wazazi wako wote 2 halaf natowekaHata wewe nitakuchoma mshikaki ukinichezea kwa mambo ya utopolo topolo
Kama haikujulikana anachoumwa basi alimroga,hakumpa,sumu ya kawaida. Kwa iyo rsfik ako alkua mshirikinaHakuogopa alikuwa na machungu tele tele moyoni na alishatekekeza na bwana alikuwa kalazwa muhimbili haijulikani anachoumwa loh.
Watu waache kuchezea watu hisia.
Kwan huko Sinza kwa hao wajane, ni wanaume zao tu ndo walikua na makosa mpk wawaue???Hakuogopa alikuwa na machungu tele tele moyoni na alishatekekeza na bwana alikuwa kalazwa muhimbili haijulikani anachoumwa loh.
Watu waache kuchezea watu hisia.