Dar iko chini ya amri kutoka ngome ya Wahehe Iringa

Dar iko chini ya amri kutoka ngome ya Wahehe Iringa

Ashampoo burning

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2023
Posts
593
Reaction score
2,219
Wadau nipo hapa nimetulia nikasema niwachokoze kidogo

Dar sasa hivi ipo chini ya himaya ya wahehe baada ya chalamila kuwa mkuuu wa mkoa wahehe wanajidai sana nimeona kwenye magroup yao WhatsApp.

Kwa sasa kwenye ulingo wa siasa kutoka iringa anawika sana ni chalamila hivyo ngome ya wahehe wamefurahi sana mbwa zimechinjwa sana watu wamejinyonga kwa furaha (utani)

Wahehe na wakinga wamesema niwape taarifa kuwa wamefurahi sana wanasema ipo siku watatoa raisi kabisa.

Wakinga na wahehe ni wale wale hawana tofauti kubwa.

Huko vijiwe vya kariakoo wakinga nao wamefurahi kusikia mtu kutoka mkoa wao anakuja dar wamesema watapumua kidogo wakinga ndo wameliki wa kariako wakitoka waarabu ...wamemkubali chalamila

Ila chalamila aliwahi kuwa mwenyekiti wa ccm pia nakumbuka mwaka 2017 mkoa wa iringa hivyo kule wanampenda sanaa sema mlevi wa ulanzi huyo balaa.

Walevi wa dar nao wamefurahi sana maana chalamila nae ni mlevi kidogo basi walevi wa dar wamehisi wamepata mkuu wa wao mkoa kwenye mambo ya gambe.

Lakini dar ni mji matukio na chalamila ni mtu wa matukio, watu wa dar watu wa matukio hivyo wamepata mkuu wa mkoa wa matukio amsha amsha hakuna kulala umbea umbea mara kafukua mara katoe huku chalamila mzee mishe mara kafukuza huku mara kapiga wanafunzi viboko yaani dar itachangamka

Ndugu zetu panya road kwa bwana chalamila sidhani kama mtatoboa hiyo ni magufuli type leader kuweni makini.

😄😄Pia nashauri chalamila atembelee ofisi ya chadema imechoka sana nayo aanze nayo ihamishwe pale uswahilini inatia aibu mkoa wa dar😄😄kinondoni ufipa wananchi wanalalamika sana kuwa haiendani na ukubwa wa chama ni kero pale mtaani choo chao kichafu sana afu wanakodi helicopter badala ya kukodi ofisi mpya.
 
Mleta mada unashangaza kusema wakinga ni wamiliki ukitoa waarabu 😂😂😂 wanamiliki nn hasa hapo kkoo zaidi ya kumiliki misukule
 
Nimekusoma,

Mamlaka zinajua KARIAKOO watu hao ndo wengi hivyo ujio wa Chalamila unaweza kuwalainisha Kwa muda.

Nionavyo mm,

KATIBA mpya ndo yaezatoa suluhu ya kudumu ya matatizo yote nchini.

Bring back our Rasimu ya Warioba 💪

Amen.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wahehe watani zangu nao ni watanzania....wana haki ya kumtoa kiongozi yeyote wa nafasi yoyote tu asiwe mfalme [emoji1787][emoji1787]

Wahehe ni mashujaa pia tusisahau hilo....nitamkumbuka daima Chifu Mkwawa (Rip) amen!!!!

Kila la heri kwake mh.Chalamila amen[emoji120]

Tunalipenda taifa letu sana na hatutaki watu kupakaziwa eti ni MSOGA GANGA wala SUKUMA GANG [emoji1787]

#MAMA KAJA[emoji2956]
 
Nyongise,
Swela hela,
Ndimghaya sida...
Navalonge vakatuka,
Ka luve ludodo nave gere..

Ngendelage uludodi muyangu
Lugha tamu watani wangu....haya maana yake nini nami nijidai kwa wahehe hapa[emoji1787]
 
Wadau nipo hapa nimetulia nikasema niwachokoze kidogo

Dar sasa hivi ipo chini ya himaya ya wahehe baada ya chalamila kuwa mkuuu wa mkoa ...wahehe wanajidai sana nimeona kwenye magroup yao whatsaapp

Kwa sasa kwenye ulingo wa siasa kutoka iringa anawika sana ni chalamila hivyo ngome ya wahehe wamefurahi sana mbwa zimechinjwa sana watu wamejinyonga kwa furaha (utani)

Wahehe na wakinga wamesema niwape taarifa kuwa wamefurahi sana wanasema ipo siku watatoa raisi kabisa

Wakinga na wahehe ni wale wale hawana tofauti kubwa

Huko vijiwe vya kariakoo wakinga nao wamefurahi kusikia mtu kutoka mkoa wao anakuja dar wamesema watapumua kidogo wakinga ndo wameliki wa kariako wakitoka waarabu ...wamemkubali chalamila

Ila chalamila aliwahi kuwa mwenyekiti wa ccm pia nakumbuka mwaka 2017 mkoa wa iringa hivyo kule wanampenda sanaa sema mlevi wa ulanzi huyo balaa

Walevi wa dar nao wamefurahi sana maana chalamila nae ni mlevi kidogo basi walevi wa dar wamehisi wamepata mkuu wa wao mkoa kwenye mambo ya gambe

Lakini dar ni mji matukio na chalamila ni mtu wa matukio .. watu wa dar watu wa matukio hivyo wamepata mkuu wa mkoa wa matukio amsha amsha hakuna kulala umbea umbea mara kafukua mara katoe huku chalamila mzee mishe mara kafukuza huku mara kapiga wanafunzi viboko yaani dar itachangamka

Ndugu zetu panya road kwa bwana chalamila sidhani kama mtatoboa hiyo ni magufuli type leader kuweni makini

[emoji1][emoji1]Pia nashauri chalamila atembelee ofisi ya chadema imechoka sana nayo aanze nayo ihamishwe pale uswahilini inatia aibu mkoa wa dar[emoji1][emoji1]kinondoni ufipa wananchi wanalalamika sana kuwa haiendani na ukubwa wa chama ni kero pale mtaani choo chao kichafu sana afu wanakodi helicopter badala ya kukodi ofisi mpya
Kumekucha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekusoma,

Mamlaka zinajua KARIAKOO watu hao ndo wengi hivyo ujio wa Chalamila unaweza kuwalainisha Kwa muda.

Nionavyo mm,

KATIBA mpya ndo yaezatoa suluhu ya kudumu ya matatizo yote nchini.

Bring back our Rasimu ya Warioba 💪

Amen.
Kariakoo wamejaa wakinga hao watawezana na mnyalukolo mwenzao
 
Huijui kkoo vizuri wewe
Sawa nikweli siijui ila usipotoshe watu wakinga hawana jipya sikatai wanamiliki biashara ila sidhani hata kama wanamiliki majengo smart 10 hapo kkoo japo sijawahi fuatilia
 
Sawa nikweli siijui ila usipotoshe watu wakinga hawana jipya sikatai wanamiliki biashara ila sidhani hata kama wanamiliki majengo smart 10 hapo kkoo japo sijawahi fuatilia
Nikweli hauja fuatilia... Ndo maana huna majibu yanayo eleweka 😏😏
 
Sawa nikweli siijui ila usipotoshe watu wakinga hawana jipya sikatai wanamiliki biashara ila sidhani hata kama wanamiliki majengo smart 10 hapo kkoo japo sijawahi fuatilia
Kafiche ujinga wako
 
Wadau nipo hapa nimetulia nikasema niwachokoze kidogo

Dar sasa hivi ipo chini ya himaya ya wahehe baada ya chalamila kuwa mkuuu wa mkoa wahehe wanajidai sana nimeona kwenye magroup yao WhatsApp.

Kwa sasa kwenye ulingo wa siasa kutoka iringa anawika sana ni chalamila hivyo ngome ya wahehe wamefurahi sana mbwa zimechinjwa sana watu wamejinyonga kwa furaha (utani)

Wahehe na wakinga wamesema niwape taarifa kuwa wamefurahi sana wanasema ipo siku watatoa raisi kabisa.

Wakinga na wahehe ni wale wale hawana tofauti kubwa.

Huko vijiwe vya kariakoo wakinga nao wamefurahi kusikia mtu kutoka mkoa wao anakuja dar wamesema watapumua kidogo wakinga ndo wameliki wa kariako wakitoka waarabu ...wamemkubali chalamila

Ila chalamila aliwahi kuwa mwenyekiti wa ccm pia nakumbuka mwaka 2017 mkoa wa iringa hivyo kule wanampenda sanaa sema mlevi wa ulanzi huyo balaa.

Walevi wa dar nao wamefurahi sana maana chalamila nae ni mlevi kidogo basi walevi wa dar wamehisi wamepata mkuu wa wao mkoa kwenye mambo ya gambe.

Lakini dar ni mji matukio na chalamila ni mtu wa matukio, watu wa dar watu wa matukio hivyo wamepata mkuu wa mkoa wa matukio amsha amsha hakuna kulala umbea umbea mara kafukua mara katoe huku chalamila mzee mishe mara kafukuza huku mara kapiga wanafunzi viboko yaani dar itachangamka

Ndugu zetu panya road kwa bwana chalamila sidhani kama mtatoboa hiyo ni magufuli type leader kuweni makini.

😄😄Pia nashauri chalamila atembelee ofisi ya chadema imechoka sana nayo aanze nayo ihamishwe pale uswahilini inatia aibu mkoa wa dar😄😄kinondoni ufipa wananchi wanalalamika sana kuwa haiendani na ukubwa wa chama ni kero pale mtaani choo chao kichafu sana afu wanakodi helicopter badala ya kukodi ofisi mpya.
Kwa jinsi wahehe walivyo ubinafsi hapo sioni kitu cha wao kujisifu. ingekuwa ni wanyakyusa ningekuunga mkono ila sio wahehe

hii tabia ya makabila ya nyanda za juu kusini kufosi undugu na wakinga inashangaza sana siku hizi 😂😂 ama kweli pesa itafutwe, enzi hizo yani mkinga alikuwa hana mtani kabisa ila leo sasa anagombaniwa undugu.
 
Back
Top Bottom