digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Najihisi vigoodUnaonaje kuwa na hiyo profile?
Sifa hizi zote zipo Lumumba.achana na kumendea mendea vitu vya watu ikiwa ni pamoja na wake zao, acha dhuluma na ubabe ambao ni useless 🐒
Ukiangalia kwa makini mguu awake wa kulia utaona silaha kachomeka ndani ya buti.Huyo dogo mwenye buti za depo kajianika sanaaaaa aisee..kuna mjanja mmoja yeye alikua kwa ndani tu anamvuta hajaonekana ila huyu daahh!! Yan sure hadharani hakyanani nchi hii na ukite litapita kimya kimyaaaa
ushauri wangu siku zote huwa ni wa jumla huwa sibagui.Sifa hizi zote zipo Lumumba.
Wewe ndio una matatizo mkuu!!Oneni pumbavu kama hili, mbwa kama hawa wako hài kwa sababu kuuwa ni jinai.
Wewe ni takataka.Wewe ndio una matatizo mkuu!!
Kupotea kwa watu kupo duniani kote SEMA ni vile hairipotiwi kama huku Africa na vyombo vyetu!
Wauza madawa na watakatisha fedha na wahujumu uchumi ni lazima kabisa kupotezwa !!
Sasa kama wewe ni muuza mitumba au muajiriwa unapotea kiss nini!!?
Nadhani tuendelee kuwajibika kisheria Kwa taifa tuache drama za uvunjifu amani na tutakua salama!!
Yameruhusiwa kutokea Kwa malengo maalum na hitimisho lake ni anguko kuu Ili wapate namna ya kuanza upya!!Wewe ni takataka.
Njooni nyamongo mteke namna hii yale ya Zakaria yatakua madogo .Nasisitiza kuishi na watu vizuri.
mbabe mtu mzima ananyanyaswa na vijana wadogo tu kwa mayowe ya kuomba msaada? kiburi na ubabe mwisho wake kwenu nje ya hapo utakutana na wababe watakudhalilisha kama muungwana alivyo dhalilishwa maskini ya Mungu 🐒
hiyo ni kumaanisha nini sasa gentleman? Kwani huo ni utekaji au action movies 🐒Njooni nyamongo mteke namna hii yale ya Zakaria yatakua madogo .
Wewe ni mtu wa hovyo kabisa. Ni aibu kwamba hata ni Mtanzania mwenzetuWewe ndio una matatizo mkuu!!
Kupotea kwa watu kupo duniani kote SEMA ni vile hairipotiwi kama huku Africa na vyombo vyetu!
Wauza madawa na watakatisha fedha na wahujumu uchumi ni lazima kabisa kupotezwa !!
Sasa kama wewe ni muuza mitumba au muajiriwa unapotea kiss nini!!?
Nadhani tuendelee kuwajibika kisheria Kwa taifa tuache drama za uvunjifu amani na tutakua salama!!
Jo katika picha mjongeo nimekuona.Kufa kufaana Kitendo cha Deo Tarimo wa Kiluvya kushindikana kutekwa kumefanya Watu wengi kujisalimisha Gym Ili kujenga misuli ya miili yao
Kila gym kuna Ujumbe " Pambana kabla Hujapambaniwa" sijui hata wamekubaliana saa ngapi 🐼
Kama hivyo hapo sawa..Sehemu kama hio inasemekana alienda kwa ajili ya business meeting huenda sio maeneo yake.