John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Hivi unaelewa kwa ufasaha kabisa juu ya suala hili unalojaribu kulizungumzia hapa?Mtume Muhammad (S.A.W.) alieleza:
Hadithi hii inahimiza kujifunza stadi mbalimbali za kujilinda na kuwa na nguvu, kama vile upigaji wa mishale, upigaji wa upanga, na kuogelea. Ingawa karate haikutajwa moja kwa moja, mafunzo ya sanaa za kujilinda yanahusiana na kuwa na uwezo wa kujilinda na kuwa na nguvu ya mwili.
Sasa nani gaidi? Mtakaji anaejilinda?We jamaa ni gaidi sema hujapata exposure!!!
Makobanzi vs wasuka nyweleNdiyo maana wavaa makobazi wengi wanacheza karate.
Deo Bonge sio MuislamuHadithi hii inahimiza kujifunza stadi mbalimbali za kujilinda na kuwa na nguvu, kama vile upigaji wa mishale, upigaji wa upanga, na kuogelea. Ingawa karate haikutajwa moja kwa moja, mafunzo ya sanaa za kujilinda yanahusiana na kuwa na uwezo wa kujilinda na kuwa na nguvu ya mwili.
Pengine kasikiaDeo Bonge sio Muislamu
Mtekaji tena? Wale madaktari waliomchoma sindano yule jamaa kwenye ile Noah?Sasa nani gaidi? Mtakaji anaejilinda?
Deo Bonge unamjua vizuri? Hajasoma madrasa yulePengine kasikia
Pengine kasikia mawaidha alivyokuwa anapita pitaDeo Bonge unamjua vizuri? Hajasoma madrasa yule
Huyo Kibao alikuwa mchungaji wa kanisa gani na uanajeshi wake
USSR
Amesoma Chiparapara Seminari yule wewe acha kujipakulia minyamaPengine kasikia mawaidha alivyokuwa anapita pita
Haijalishi kasoma wapi, mbona hana msalaba shingoni?Amesoma Chiparapara Seminari yule wewe acha kujipakulia minyama
Kwa hio hapa umemaanisha nini sasa mkuu?Duh!!!
Akiliiiiiiiiiiii jamani kila mtu na zake
Umekaririsha au sio? Kwa hio uliwahi kumuona kwenye madrasa yako Ostadh?Haijalishi kasoma wapi, mbona hana msalaba shongoni?
Halafu ndio msomi wewe? Maswala yako kama mwehu.Wale masheikh wa Uamsho walikuwa wakristo wa dhehebu gani?
Deo Bonge katuwakilisha vyema Waislamu wenye imani kaliHalafu ndio msomi wewe? Maswala yako kama mwehu.
Familia yako imetupa pesa kukusomesha
Mtume Muhammad (S.A.W.) alieleza:
Hadithi hii inahimiza kujifunza stadi mbalimbali za kujilinda na kuwa na nguvu, kama vile upigaji wa mishale, upigaji wa upanga, na kuogelea. Ingawa karate haikutajwa moja kwa moja, mafunzo ya sanaa za kujilinda yanahusiana na kuwa na uwezo wa kujilinda na kuwa na nguvu ya mwili.
KUJILINDA SIO KUANZISHA VURUGU. UISLAM UNAHIMIZA UJILINDE NA KUTUMIA ELIMU HII KUDHURU WENGINE
Imani kali Maana yake nini? Ktk uislam kuna waumini na wanafiki.Deo Bonge katuwakilisha vyema Waislamu wenye imani kali