Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Mbona kama Mc BIG huyo mtekwaji
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Ajira zingine, ni laana tupu kwa vizazi vyao. Unajisikiaje unapoona mtoto analia kwa uchungu kaburini kwa baba yake uliyemuua jana tu. Au mkewe mjane mjamzito anayezimia akimlilia mmewe uliyemuua aliyekuwa msaada wake pekee maishani.
 
Raia wameshindwa hata kuchukua namba ya hiyo Gari?
Mkuu usidhani tukio la Utekaji linakuwa jepesi sana kiasi hicho unachofikiri wewe.

This is an organized. Well calculates crime gang.

Wakati wanatekeleza kuna kuwa na kundi lingine pembeni linalohakikisha wananchi hawaongilii kati. Hili ni kundi linakuwa Equiped na zana mbali mbali kwa ajili ya defence na Threatening ya Umati.

Unaweza kuingilia ukashangaa ubongo unafumuliwa hapo hapo.

Ukiona Noah kama hiyo waweza kuta mbele kuna boda boda watu wawili watatu wamebebana( watch Men)
 
Find this niga please
1000001731.png
 
Haya mashetani hayana hata hizo hisia. Yenyewe yanafurahia kwa sababu yametimiza maagizo ya aliyewatuma. Na aliyewatuma, mara baada ya kifo atajifanya kutoa pole. Mkishatulia, atawaambia kuwa hicho ni kifo kama vifo vingine.

Mwanamke huchukuliwa ni kiumbe mpole lakini akiamua kuwa mwovu, hukosa huruma kabisa, ndiyo maana wazee wa kale walisema usiombee mwanamke akawa mchawi, anaua bila huruma. Ndiyo tunachokishuhudia sasa!!
 
Back
Top Bottom