Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Halafu ndio msomi wewe? Maswala yako kama mwehu.
Familia yako imetupa pesa kukusomesha
Tena sio tu walitekwa... wakaletwa bara... wakatiwa majiti

1731526340806.png
 
Kwanini iwe nchi ya namna hiii?


Hata mimi najiuliza hivyo aisee?!
Kwanini nchi ifike hali ya kutisha hivi ?
😭😭
Hapana Mwenyezi Mungu usikae kimya jamani ingilia kati ujuavyo utuokoe na vizazi vyetu 😭😭
Usalama uko wapi ?? 🤷‍♀️🤷‍♀️
 
Uhuru ambao Samia amempa Mafwele, utazidi kuwamaliza watanzania. Mwisho wa haya ni mpaka Watanganyika waamke na kumwambia Samia aende kwao. Huu uharamia ameubariki huku Tanganyika, kule kwao husikii huu ushetani.


Yaani inasikitisha mno jamani woooiii 🙆‍♂️🤦‍♀️😭😭
Eeeh Mwenyezi Mungu sikia kilio cha watanzania uwaokoe sasa @ Baba.
Eeeh Mwenyezi Mungu usikae kimya!
 
Hivi unaelewa kwa ufasaha kabisa juu ya suala hili unalojaribu kulizungumzia hapa?
Fanyeni mazoezi, we zuzu kuna gaidi uliwai kumuona kafanya ugaidi kwa kutumia karate, au panga, au mshale??? Fanya mazoezi uwe fiti kwa faida yako jinga wewe, ndio nyie panya road wakivamia mnakimbia wote kama watheenge,au kibaka tu dhaifu anakusumbua unakimbia, we aliyekuambia mazoezi ya karate ni ugaidi nani? Au kutembea na bisibisi au kisu cha mkunjo ni ugaidi nani?
 
Haya mashetani hayana hata hizo hisia. Yenyewe yanafurahia kwa sababu yametimiza maagizo ya aliyewatuma. Na aliyewatuma, mara baada ya kifo atajifanya kutoa pole. Mkishatulia, atawaambia kuwa hicho ni kifo kama vifo vingine.

Mwanamke huchukuliwa ni kiumbe mpole lakini akiamua kuwa mwovu, hukosa huruma kabisa, ndiyo maana wazee wa kale walisema usiombee mwanamke akawa mchawi, anaua bila huruma. Ndiyo tunachokishuhudia sasa!!


Nimekuelewa.
Hata Maandiko Matakatifu yameandika kuhusu mwanamke akiwa Mchawi Kwamba huwa Katili maradufu kuliko Mchawi Mwanaume .
Wanasema hata jambazi au Gaidi akiwa mwanamke huwa katili maradufu ya katili Mwanaume .
Tumlilie Mwenyezi Mungu 😭😭😭
 
Ndiyo maana wavaa makobazi wengi wanacheza karate.
Msicheze karate inafanya ugaidi eti, Sijui nchi gani Gaidi alitumia karate kulipua jengo la bishara marekani, au kenya,, fanyeni mazoezi muwe fiti acheni propaganda za mashoga wa ulaya, wanataka muwe dhaifu mgeuzwe mapunga
 
Wale masheikh wa Uamsho walikuwa wakristo wa dhehebu gani?

Hakuna wakati mgumu kama kujadiliana hoja na watu wasio na elimu ya kutosha, hata ya kujitambua wenyewe. Mtu ameenda kurusha mateke uwanjani, basi anajiona ashakuwa komandoo.
Anaweza kumshinda kila mtu. Sishangai Kinjekitile Ngwale aliwalaghai wale wajinga wenzake wajipake matakataka ya kuzuia risasi.
Nasifu jasiri wake na natambua ufinyu wa uelewa na elimu yake enzi zile. Ila nashangaa mbinu kama zile zilizoongozwa na ujinga, baadhi ya watu wanazitumia mpaka leo.
 
Mkuu usidhani tukio la Utekaji linakuwa jepesi sana kiasi hicho unachofikiri wewe.

This is an organized. Well calculates crime gang.

Wakati wanatekeleza kuna kuwa na kundi lingine pembeni linalohakikisha wananchi hawaongilii kati. Hili ni kundi linakuwa Equiped na zana mbali mbali kwa ajili ya defence na Threatening ya Umati.

Unaweza kuingilia ukashangaa ubongo unafumuliwa hapo hapo.

Ukiona Noah kama hiyo waweza kuta mbele kuna boda boda watu wawili watatu wamebebana( watch Men)


Itaonekana kama unatumika kutisha watu kuwakatisha tama wasitafute kujilinda ?!
Kwa hiyo wataua halaiki kwa wakati mmoja ?
Familia nzima ?
 
"Nisaidieni naenda kuuawa, naenda kuuawa, siwajui hawa, naenda kuuawa" jamaa anapambania uhai wake nje ya Hotel ya Rovvenpec Resort iliyopo Kiluvya madukani, jijini Dar. Lakini wananchi wanashuhudia tu, na hawatoi msaada wowote. Yani ilitakiwa hicho kigari kigeuke "majivu" dakika sifuri lakini watu wanashangaa tu kama vile wanaangalia sinema.

Angalau huyu aliyechukua video amesaidia kuhabarisha umma, lakini wengine wamesimama tu wakiangalia mwenzao akilalamika kwenda kuuawa. Halafu kesho maiti yake ikiokotwa huko Ununio watu haohao wangejifanya kusikitika. Watanzania wengi ni wanafiki sana aisee. Ptuu mbaka.!

Ukifuatwa na hawa wahuni jitetee kwa nguvu zako zote, its a margin between death and life. Usitegemee watanzania maana wengi ni makondoo tu. Pigania uhai wako mwenyewe. Kama una silaha yoyote itumie kujihami. Usitembee kiboya.

Huyu jamaa ubonge umemsaidia. Mungu kamjalia mwili na nguvu za kujitetea. Lakini angekua "kimbaumbau" kama mimi, saivi tungeshaandika BringBack za kutosha, au mwili wake ungeokotwa huko Ununio.

Nimejisikia vibaya sana kuona vitendo vya utekaji vinafanyika katika nchi huru na viongozi wala hawajali. Fikiria "watekaji" wanaongea kwa kujiamini kwamba "ukigoma kuingia hapo tutakuua" na bado wananchi wanashangaa tu. Pamoja na jamaa kujitetea na kufanikiwa kuokoa roho yake, bado watekaji wamejibu kwa dharau kwamba "Tutakurudia" maana yake hajakwepa kifo. Amekiahirisha tu 😭. Halafu wale tuliowapa dhamana za uongozi wanatuambia kifo ni kifo tu. Mene mene tekeli na peresi. Mungu yupo.!

Chanzo Melissa Gj .
View attachment 3150726
Facebook


Eeeh Mwenyezi Mungu weee 😭😭😭🙆‍♂️
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Halafu na picha zote hizi hawajulikan aisee
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Tena nyumbu haswa inashangaza sana watu wameshika kiuno kabisa utazani wanaangalia filamu, kama unauwezo pale walipo simama unawamwagia upupu nyumbu hao wakufugwa!
 
Wanaoteka wanajulikana na polisi hawana la kuwafanya. Huyo ahamie mikoani.

Ahamie mkoani au nje ya nchi akafanye maisha yake huko na familia yake.?!
Achague nchi yenye ahueni wonne kama mkimbizi na akaoneshe hiyo sauti ya kuambiwa na bado …… ubalozini
Ingawa ni mtihani mkubwa utakuwa kwake jambo ambalo hajawahi kulifikiria ktk umri huo alonao.
Ingekuwa kijana Mdogo ni rahisi na ingekuwa ni fursa kwake.
 
Bora hata sura Ili Kila mtu awatambue na ajue jinsi ya kumalizana nao mtaani.

Kwa hali kama hii uchawi ni muhimu sana maana huna Dola hata uchawi tushindwe?


Kabisa !
Jamaa inabidi awawahi yeye kabla hawajammaliza yeye kama walivyojiapiza.
Hiyo ni vita kwake.
Awahi kuomba hifadhi ya ukimbizi.
Lakini itaanza kujua Tanzania imefikia hapo ?!
 
Back
Top Bottom