DAR is 2nd EAC city in FDI inflows. Nairobi 1st, Mombasa 5th.,

DAR is 2nd EAC city in FDI inflows. Nairobi 1st, Mombasa 5th.,

Uzi unaendelea,Dar inakimbiza vizur Nbo the way mnavyoiongelea ni kama vile Jozi au something like Cairo kumbe sivyo...
Dar inakuja vizur ndio tunaenda sawa na beat tunanata nalo mulemule.
Nairobi mnaisifu kuliko uwezo wake,simaanishi NBO hapako sawa lahasha

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Asante kwa kukubali kwamba kwa sasa Dar inakimbiza Nairobi. Unafaa upitie pale Dar vs Nrb uambie wale wenzako huu ukweli
 
Ukiondoa Nairobi, Kenya kote huko kwingine ni machakani kama upande wa kaskazini mwa Kenya ndio balaa, maendeleo yapo nyuma kabisa hata barabara maji, umeme hakuna kabisa
Ukiondoa Nairobi unabaki na Mombasa(port city),Kisumu (industrial city)Nakuru(new capital) na bado kuna Eldoret. Je? Ukiondoa Dar unabaki na nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiondoa Nairobi, Kenya kote huko kwingine ni machakani kama upande wa kaskazini mwa Kenya ndio balaa, maendeleo yapo nyuma kabisa hata barabara maji, umeme hakuna kabisa wakati Tanzania mtu angefikiri Dar ndio kungekua na huduma bora kuzidi maeneo yote za kijamii

Tanga sio kama Dar lakini kuna huduma ya clean and safe water 100% Moshi 100% etc wakati Kenya hakuna County inayopita Nairobi kwa maendeleo ya aina yoyote ile.
Ukiondoa Nairobi unabaki na Mombasa which can still run the economy perfectly. We all know huwezi linganisha Mombasa na any city in Tz outside dar. Nakuru pekee inailemea Mwanza kiuchumi itakuamoshi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stori za kipumbavu zikijadiliwa na wapumbavu,kenge wote
Na sipendi,wakenya kujisifia sana na vi reference vyao vya ku Google.
Wabongo nao unafiki wote machizi ko haina haja ya kubishana kaeni chini adui yenu bado mnamjua alafu mnapigana wenyew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom