DAR is 2nd EAC city in FDI inflows. Nairobi 1st, Mombasa 5th.,

Asante kwa kukubali kwamba kwa sasa Dar inakimbiza Nairobi. Unafaa upitie pale Dar vs Nrb uambie wale wenzako huu ukweli
 
Ukiondoa Nairobi, Kenya kote huko kwingine ni machakani kama upande wa kaskazini mwa Kenya ndio balaa, maendeleo yapo nyuma kabisa hata barabara maji, umeme hakuna kabisa
Ukiondoa Nairobi unabaki na Mombasa(port city),Kisumu (industrial city)Nakuru(new capital) na bado kuna Eldoret. Je? Ukiondoa Dar unabaki na nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiondoa Nairobi unabaki na Mombasa which can still run the economy perfectly. We all know huwezi linganisha Mombasa na any city in Tz outside dar. Nakuru pekee inailemea Mwanza kiuchumi itakuamoshi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stori za kipumbavu zikijadiliwa na wapumbavu,kenge wote
Na sipendi,wakenya kujisifia sana na vi reference vyao vya ku Google.
Wabongo nao unafiki wote machizi ko haina haja ya kubishana kaeni chini adui yenu bado mnamjua alafu mnapigana wenyew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…