Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Sana aiseeLissu anawatu sana
Wale ni mademu zakeMbowe akishinda ataongoza Bawacha 🐼
🤣🤣🤣Hao walevi wa visungura sio wapiga kura
Na BAWACHA wengi ni mademu wa Mbowe hivyo wake wenza wanashawishiana kumpigia bwana wao maana kwa sehemu kubwa mbiwe kawakula hao wamama wengi sanaMbowe akishinda ataongoza Bawacha 🐼
View: https://www.youtube.com/live/98PbB_z9DZo?si=ErMXG6DXe_NNGU6_
Hawa watu wanaomwambia Mbowe hadharani kuwa amechoka sio wajinga wasikilizwe wamekuwa wengi huenda Wana hoja.
Huenda Mbowe akishinda CHADEMA itageuka kuwa kama CUF,TLP au NCCR,
#WAJUMBE KULENI YAMINI MKINUSURU CHAMA NA KIFO CHAKE
Kweli CHADEMA wana democrasia kubwa sana, maneno kama haya yakisemwa na mwana Ccm kwa mwenyekiti wa CCM hakika huyo mtu atapotelea kusiko julikana na usionekane maisha yake yote
View: https://www.youtube.com/live/98PbB_z9DZo?si=ErMXG6DXe_NNGU6_
Hawa watu wanaomwambia Mbowe hadharani kuwa amechoka sio wajinga wasikilizwe wamekuwa wengi huenda Wana hoja.
Huenda Mbowe akishinda CHADEMA itageuka kuwa kama CUF,TLP au NCCR,
#WAJUMBE KULENI YAMINI MKINUSURU CHAMA NA KIFO CHAKE
com ni genge la mafiosoKweli CHADEMA wana democrasia kubwa sana, maneno kama haya yakisemwa na mwana Ccm kwa mwenyekiti wa CCM hakika atapotelea kusiko julikana na usionekane maisha yako yote
Kila Kona watu wanamtaka Lissu
View: https://www.youtube.com/live/98PbB_z9DZo?si=ErMXG6DXe_NNGU6_
Hawa watu wanaomwambia Mbowe hadharani kuwa amechoka sio wajinga wasikilizwe wamekuwa wengi huenda Wana hoja.
Huenda Mbowe akishinda CHADEMA itageuka kuwa kama CUF,TLP au NCCR,
#WAJUMBE KULENI YAMINI MKINUSURU CHAMA NA KIFO CHAKE
Sijui kwanini kila anayekua kinyume n ccm huonekana mlevi wa gongo. Wakati kwenye kampeni tunaona sura za wanchama wa ccm wanaovaa tsheti na kofia huko vijijini ni watu w ain ganiHao walevi wa visungura sio wapiga kura
Hizi ndo akili za akina Lissu?Na BAWACHA wengi ni mademu wa Mbowe hivyo wake wenza wanashawishiana kumpigia bwana wao maana kwa sehemu kubwa mbiwe kawakula hao wamama wengi sana
Lissu sijui yupo na dam gani, hakuna kipindi alikua na vizingiti ,wakati agombea urais wa TLS , ila alipita ,pamoja kwamba alifika ukumbini amechelewa akitokea Dar, kutokana na kesi kama sikumbuki, ila inasemekana baada ya kufika ukumbini , Alitema hotuba ya hatari , ambayo ilimshangaza kila wakili Msomi.Lissu Mungu akusimamie sana, Utashinda kwa nguvu ya Mungu
🤣🤣Mbowe akishinda ataongoza Bawacha 🐼
Mfumo upo kazini muwe mnajiongeza jamani. Huoni mikoa yote wamefanya hivyo tena kwa zamu. Hivi unafikiri kuna anayekutakia mema? Labda mwanafamilia wa damu
View: https://www.youtube.com/live/98PbB_z9DZo?si=ErMXG6DXe_NNGU6_
Hawa watu wanaomwambia Mbowe hadharani kuwa amechoka sio wajinga wasikilizwe wamekuwa wengi huenda Wana hoja.
Huenda Mbowe akishinda CHADEMA itageuka kuwa kama CUF,TLP au NCCR,
#WAJUMBE KULENI YAMINI MKINUSURU CHAMA NA KIFO CHAKE