Dar: Kijana auawa kwa kuchomwa moto kwa tuhuma za kuiba laki mbili

Dar: Kijana auawa kwa kuchomwa moto kwa tuhuma za kuiba laki mbili

Mpaka mtu asimamie familia ya Marehemu, ndiyo watapata haki. Lah kesi hii itaishia baada ya mwezi mmoja. Tuache vitendo vya ukatili, hawa waajiri wanaonyesha wazi, hawakutaka kumlipa mshahara wake, wakaamua kumsingizia wizi.

Kama kweli waliibiwa, kwanini hawakumfikisha polisi? Miuaji hiyo, wachunguzwe huenda walishaua wafanyakazi wengine.
 
Mpaka mtu asimamie familia ya Marehemu, ndiyo watapata haki. Lah kesi hii itaishia baada ya mwezi mmoja. Tuache vitendo vya ukatili, hawa waajiri wanaonyesha wazi, hawakutaka kumlipa mshahara wake, wakaamua kumsingizia wizi.

Kama kweli waliibiwa, kwanini hawakumfikisha polisi? Miuaji hiyo, wachunguzwe huenda walishaua wafanyakazi wengine.
Kafara ya moto Mshana Jr
 
Mimi nakueleza ni manslaughter hiyo kwa Sheria zetu hizi tia maji, Tanzania Sheria ni range fulani ya Maamuzi, haipo straight! Hivi unajua only Hakimu ndo anaweza kuamua Kama upo guilty ukibisha kulipa fine ya Trafic? Hemu jaribu siku moja kubisha!
Sawa
 
Majirani huko "youtube" wanasema ni mtu na mpenzi wake ndio wamefanya tukio halafu kuna ujanja unafanyika ili ionekane kuwa watu wenye hasira kali wamefanya tukio. Hayo ni mauaji ya kukusudia kwa sababu inasemekana walimfuata huyo marehemu nyumbani kwake wakamchukua mbele ya mke wake halafu walipofika nae wanapoishi mtaani hapo hapo walimtuma boda boda petroli ya kumchoma marehemu. Kizuri mpaka sasa majirani wanasema daktari kagoma kusaini baadhin ya nyaraka baada ya kuona janja janja ya kuwachomoa hao wauji. Hapa daktari apewe maua yake.

Daa ila maisha haya laki mbili ndio unamwagia petroli mtu unamtia kibiriti kama unachoma nyasi. Nimesikitika sikuwahi kujua kama dunia ina watu makatili kiasi hiki
 
Back
Top Bottom