Tetesi: Dar: Kuna ajali mbaya umetokea maeneo ya Palm beach

Tetesi: Dar: Kuna ajali mbaya umetokea maeneo ya Palm beach

shinyangakwetu

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
2,487
Reaction score
2,394
Kuna ajali mbaya umetokea maeneo ya palm beach saa 11 asubuhi ya Leo,lory limemgonga mwanamke wa kihindi akiwa na X5,wakati napita bado mwanamama huyo anapumua na juhudi za kumtoa zilikuwa zikiendelea,mwenye lory kakimbia Picha ina Giza
IMG_20161025_050519.jpg
 
Du!,
Kwanza asante Shinyanga Kwenu kutuletea breaking news asubuhi subuhi, hii inaendeleza hadhi ya jf, ya be the first to know, 24/7.

Eneo hilo lina ulizi 24/7. Kishindo tuu cha ajali kingewaamsha askari hapo kituo cha Salender, hivyo hilo Lori hata kama limekimbia, dereva anakuwa emetoroka tuu eneo la ajali, na kwenda kulitelekeza mahali salama.

Wish a get well soon kwa muhanga wa ajali hiyo.

NB. Wito kwa wana jf, wanunue vilonga longa vya hali ya juu iwezekanavyo kwa kadri uchumi wao unaruhusu ili kuvitumia vilonga longa hivyo kama chombo cha upashanaji habari. Kutatusaidia kupata picha za good quality wakati wowote.

Pasco
 
Mkuu ni kweli umesema picha ina giza kwenye hiyo picha aka giza nini kinaonekana kulink na ajali?
Uharaka mkuu na mapoliccm mawili yalikuwa yananizuia kuchukua Picha,nextime ntakuja vema
 
Kuna ajali mbaya umetokea maeneo ya palm beach saa 11 asubuhi ya Leo,lory limemgonga mwanamke wa kihindi akiwa na X5,wakati napita bado mwanamama huyo anapumua na juhudi za kumtoa zilikuwa zikiendelea,mwenye lory kakimbia Picha ina Giza View attachment 423810
Picha ina giza au hakuna picha bali giza. Au wewe unaiona huko kwako? Mbona huonekani kama ulitoa msaads kwa mhanga?
 
Back
Top Bottom