Tetesi: Dar: Kuna ajali mbaya umetokea maeneo ya Palm beach

Tetesi: Dar: Kuna ajali mbaya umetokea maeneo ya Palm beach

Mmi nahisi wewe ndiye dereva wa hilo roli
 
Hakukuwa na haja ya kuweka hiyo picha.
Asante kwa taarifa.
 
Atakuwa shetani yupo around ameipa noma camera yako
 
Hiyo picha itolewe inamaliza MB bure tu
 
Asante kwa taarifa. Kulingana na ubora wa hiyo picha yako, hakukuwa na haja ya kuifanya attachment ktk uzi.
 
Ndio maeneo hayo hayo watu walitoa msaada kwa masikini wakaota manyoya! Inawezekana Ndio maana picha imegoma!![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom