Dar kuna wanawake wengi kuliko wanaume

Dar kuna wanawake wengi kuliko wanaume

Attacking angle ni pale kwenye gari za kwenda Posta na Bajaji za Posta.


Angalizo sije ukawakatalia kupanda gari za Posta maana wengi wanavaa suruali Official kama za yule mbunge aliyetolewa na Job mjengoni.
😀😀😀😀😀 watu siku hizi wanaishi kimipango mipango tu. Lazima niasogee hapo, umekuwa mtu wa pili kunipa habari za makumbusho,sasa acha nikatekeleze jambo
 
Halafu wanawake wa Dar ni wazuri na wanajipenda.
Dodoma, Arusha na Mwanza pia wanawake wa kule si haba.
Mi mwanamke tu nashangaaga uzuri wa wanawake wenzangu sasa wanaume sijui wanajisikiaje yani.
 
Kabisa mkuu. Pia Dar es salaam jiji pekee ambalo ni ngumu sana kumtofautisha mwanamke na baadhi ya wanaume. Mfano kuna wanaume wanafanya haya mambo ya kike:-

a) Wanavaa nguo za kubana matako ili wafanane na wanawake.

b) Wanaume wa Dar wanajichubua.

c) Wanavaa visuruali vinavyoishia mapajani ambavyo huwabana matakle na mapaja. Wao wanaita vinjunga.

d) Wanapenda kunukia kama dada zao. Usishangae kumkuta mwanaume wa Dar ananukia kama ki-strawberry strawberry.

e) Wanapenda vioo kama dada zao. Kujiangalia matakle na sura.

f) Wanapenda kulelewa kama dada zao au mama zao.

Wanakera sana hawa jama wa Darislamu.
G. Wanawafanya makaka wa mikoani kuitwa wajomba kupitia kwa dada zao wanaokuja kufanya kaz za housgirl
 
Back
Top Bottom