Jaji Tz
Member
- Feb 16, 2015
- 33
- 19
Dar es Salaam tunakutana eneo moja tu Diamond Jubilee...
Makamu Mwenyekiti CCM Taifa -Bara Ndg Abdulrahman Omar Kinana kesho tarehe 10 April 2022 kupokelewa na kutambulishwa rasmi kwa wana - CCM na Watanzania kwa ujumla wake,
Kinana anayetajwa kama mwanamikakati hatari zaidi kusini mwajangwa la Sahara na aliyedumu kwa muda mrefu zaidi hapa Tanzania sasa kupokelewa na kutambulishwa kwa Viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi kesho katika Ukumbi wa Mikutano wa Diamond Jubilee, kuanzia saa 2:00 Asubuhi,
Makamu Mwenyekiti CCM Taifa -Bara Ndg Abdulrahman Omar Kinana kesho tarehe 10 April 2022 kupokelewa na kutambulishwa rasmi kwa wana - CCM na Watanzania kwa ujumla wake,
Kinana anayetajwa kama mwanamikakati hatari zaidi kusini mwajangwa la Sahara na aliyedumu kwa muda mrefu zaidi hapa Tanzania sasa kupokelewa na kutambulishwa kwa Viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi kesho katika Ukumbi wa Mikutano wa Diamond Jubilee, kuanzia saa 2:00 Asubuhi,