Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara

Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara

Anatambulishwa kwani kuna mwanachama asiyemjua? Si mgeni miongoni mwa vigogo wa juu chamani, labda kama anaanza kazi rasmi kama makamu mwenyekiti wa chama hicho
 
Wafanya kazi wa uhuru na Mzalendo muanze kutuliza maumivu kwani mishahara mtaisikia kwenye bomba tu baada ya JIWE kuwaokoa. Hawa si ndiyo waliouza mitambo ya kuchapishia magazeti yenu, sasa wamerudi na pengine Kimbisa nae atarudi kuwa mwenyekiti wenu!!!
Maskini wana tabu sana! Wepesi wa kusahau!
 
Back
Top Bottom