Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Ila matajiri wengi wakubwa wa TZ wamepata misukosuko na wakati mwingine kudhalilishwa sana. Mengi, Rugemalila, Seth, mzee wa Home Shopping Centre aliyemwagiwa tindikali, Manji na sasa MO. Bakhresa ndiye ana afadhali.
 
Je inawezekana makundi ya kiharifu Tanzania yameingia?
Kama hilo genge ni la waitaliano, au yale ya wanijeria
Je kuna usalama wa mawaziri wetu?
Je kuna usalama wa rais wetu?
Vipi kuhusu watoto wetu mashuleni?


Nawaza tu sijui hao watekaji wamejiandaa kumteka nani baada ya MO.
 
mo ametekwa na wale wale watu "wasiojulikana"hamna waitaliano,wala wanaigeria
 
mbona katekwa na Lumumba fc hasa kocha wa timu cc DAB
 
Kufuatia utekaji MO na kwa kuwa mpaka sasa hajapatikana. Nashauri serikali utumie vyombo vya dola hasa vijana wa JKT, CCP MOSHI na nk. Kufanya msako wa nyumba kwa nyumba chumba kwa chumba maeneo ya masaki, oysterbay, Msasani na mikocheni. na siku hiyo isiwepo any movement ya Magari maeneo hayo. Nawakirisha mawazo, mwenzetu apatikane.
 
Akili huna na wazazi wako wamekula hasara kama mtoto mwenyew ndiye wew unayewaza kijinga ivii.... Kojoa endelea kulala
 

Wakati mwingine, kukaa kimya huwa bora zaidi kuliko kutumia ubongo wa watu kufikirisha ujinga!!
 
Dah hili bundle uliopostia hii kitu bora ungewasha hotspot dogo wa form 6 akaaply chuo tu .angekushukuru sana
 
Ingawaje wengi wamekushambulia lakini Mimi sijaona kosa lako. Hapo ndo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia ufanyeje sasa? Una uchungu na kupotea kwa mtanzania mwenzako na umejaribu kutoa solution nini kifanyike. Tuko vitani lakini hata kama tunaonekana kushindwa hatuwezi kutumia "NJIA YOYOTE". Watanzania tangu siku ya Uhuru tuliamua kuchagua uoga kama njia salama ya kuishi. Tunaona matatizo yanayowapata wenzetu kama hayatuhusu, lakini tatizo ni kama kansa likitoka kiungo hiki kama halikutafutiwa ufumbuzi mapema linatafuna kiungo kinachofuata ambacho awali kilijiona kiko salama kabisa. Mi nakushukru kwa kutushirikisha maoni yako lakini njia uliyopendekeza itakuwa ya mwisho kabisa kama wanaofanya kazi hiyo watakuwa na utashi wa kuitumia. Hapo juu nimesema tumeamua woga ndio iwe njia salama ya kuishi, na ndio maana mpaka sasa hata ndugu yako akipotea huna unaloweza kuamua juu ya hatima yake mpaka serikali iseme.
 
Hivi kweli sisi binadamu hasa waliomteka MO,hawana hofu ya Mwenyezimungu....???Binadamu utaishi miaka mingapi juu ya mgongo wa dunia,na miaka mingapi ndani ya tumbo la dunia.Maandiko matakatifu yapo wazi kabisa ,tuyategemee na tuyafuate ili tuupate ufalme wa mbinguni.
 
Mimi naendelea kusoma Zab ya 43 siku 40 mpaka kieleweke.Mungu wa Daniel ,Abedinego na Shedrack akaonekane kwake.Hata mfalme alipowatupa kwenye tanuru la Moto alionekana mtu wa nne.Mungu tushushie mtu wa nne kwenye tanuru analopitia Mo.Katika jina la Yesu wa Nazareti Amen
 
Dada Yangu, Tatizo lenu mnaipenda CCM na siyo Tanzania, ungekuwa unaipenda Tanzania ungebaini ukweli kuwa serikali ndo imemteka MO kwa amri ya Magufuli.
That's why the President has kept on maintaining silence on the matter, Tukio kubwa kama hilo na matukio mengine ya watu kupotea na TL kupigwa risasi zaidi ya 30,The President should have addressed the nation and brief us how so far has the government gone on bringing to an end these events.
 
Ila matajiri wengi wakubwa wa TZ wamepata misukosuko na wakati mwingine kudhalilishwa sana. Mengi, Rugemalila, Seth, mzee wa Home Shopping Centre aliyemwagiwa tindikali, Manji na sasa MO. Bakhresa ndiye ana afadhali.
Bakhresa naye wakati wa Mkapa nasikia alipata misukosuko ishu za ngano mbovu,,,,,,,
 
Ameen!!
 
bange mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…