Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

😂
 
Waliomteka hawajawahi kutajwa hadi leo.
 
fyjgdtgjgctvbnufghyvjyhhyhb


Memoirs of a Jailed Journalist
 
Siku hizi kawaida sana mtu kutekwa, tuko tuna mtafuta ndugu yetu Danstan Mutajura
 
Vitu kama hivi vinakupa kiburi ya kuteka. Kama unamteka billionaire, unamuachie yeye anakaushia, unadhani raia au mfanyabiashara wa kawaida atawzwa mara mbili.

Mo alitakiwa akiachiwa afuatilie kesi yake wahusika wadakwe , wapigwe miaka ya kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…