Tycoon kama MO anakuwa na ulinzi binafsi. Tena wa makomandoo kabisa, siku zote mtekaji akishazingilwa haijalishi ana kifaru au SMG lazima ata surrender tu. Maana inayomuua mtu sio ile siraha, la hasha ni risasi iliyondani ya siraha, tena yenye ukubwa wa kipenyo cha sm 5!!Watekaji inasemekana walikuwa na silaha kali hata kama alikuwa na body guard asingeweza kuzuia. Hii kulingana na matangazo ya redio yanayotangazwa na Charles Kiswanta wa Zenj.
Ni propaganda ambazo hazina maana kama atakua hana ushahidi wa kutosha ..maana hata albino akivaa maski ukitizama na kumtofautisha kwa rangi ya ngozi tu unaweza kuishia kusema ni wazungu, pia watekaji wanaweza wakavaa fake skin kuwapoteza maboya polisi na mashahidiPropaganda za kuwahadaa watanzania zimeanza
Sinema zimeanzaWamejifunika uso hapohapo ni wazungu mhh
Watekaji wana interest na matajiri hivo kapuku hawana helaHatare..matajiri wanatekwa. Kapuku je??
Kwa hiyo nini kifanyikeDuh!Watu wasioujulikana hao bila shaka!
Hii nchi sasa!!
Walitekwa na kupotea watu wa kawaida, tukaona ni mambo madogo.Leo wanatekwa matajjri na watu maarufu labda sasa ndio tutashituka.
Nakumbuka pia yaliompata Lissu na mfanyabiashara wa Tarime bwana Zakaria.
Wacha tusubiri tuone nini kinaendelea tutapata picha kamili.
Kwa sasa wanaweza kuwa wanapima upepo.Pressure ikiwa kubwa,wanaweza kumwachia ikiwa mpaka sasa bado yuko salama.
Hii update kuwa katekwa na wazungu,inanipa maswali mengi sana na mojawapo ni wazungu gani hao wa kumteka mtu tajiri kama huyo tena wakiwa katika nchi ya watu?
Wanajiamini nini?
Mo amejiteka anatafuta kick.Hamna kuishi na watu ukishakuwa bilionea wa kidunia huwezi kuishi kama raia wa kawaida watu wanaoweza kujudhuru ni wengi.
Ww unadhani unaweza kukutana na Abrahamovic anatembea bila hata mlinzi?!eti anaenda public gym ni uzembe wa hali ya juu hamna bilionea wa kidunia ambaye anaishi kama kuku wa kienyeji eti aende public gym bila ulinzi.
Huko kwny viwanja vya mpira kwenye kumetengwa maalum kwa watu muhimu labda ww ndio hujui
Bibie ukiwaiwa, hata kama una bunduki kubwa kama ak47au SMG, unakuwa huna ujanja, mtu akikulia taiming na panga tu lazima uwe mdogoNami nashangaa anatembea bila wasiwasi kama kapuku mie
Kuna tofauti kubwa sana kati ya utekaji wa miaka ya nyuma na huu wa sasa! Utekaji wa miaka ya nyuma ni ule wa kutoa ujumbe kwamba "serikali haichezewi." Ulikuwa ni utekaji wa kutia watu adabu na kisha kuwaacha wakaendelee na maisha yao!Yamezidi awamu hii lakini si kuanza awamu hii. Ulimboka alitekwa awamu hii? Hivi vitu tuvilaani kwa nguvu zote. Ombi langu kwa Mungu unaweza usilielewe lakini si lazima nieleweke. Serikali ijue tukio hili linaenda kukamilisha dhana iliyopo kwa utimilifu wake kama wasipolibeba kiweledi na kuheshimu misingi ya utu na ustawi wetu.
Hili nalo neno mweh![emoji15]Ni propaganda ambazo hazina maana kama atakua hana ushahidi wa kutosha ..maana hata albino akivaa maski ukitizama na kumtofautisha kwa rangi ya ngozi tu unaweza kuishia kusema ni wazungu, pia watekaji wanaweza wakavaa fake skin kuwapoteza maboya polisi na mashahidi
Kule Tarime yule mfanyabiashara Peter Zacharia yeye hakuwakawiza walipojipendekeza aliwatwanga Risasi ndiyo njia sahihi ya kujikinga na wasiojulikanaTycoon kama MO anakuwa na ulinzi binafsi. Tena wa makomandoo kabisa, siku zote mtekaji akishazingilwa haijalishi ana kifaru au SMG lazima ata surrender tu. Maana inayomuua mtu sio ile siraha, la hasha ni risasi iliyondani ya siraha, tena yenye ukubwa wa kipenyo cha sm 5!!
Katika ukusanyaji wa ushahid/taarifa it is scientific procedure kuanzia kuanza kuchunguza na ni lazima wakusanye taarifa zile zilizoonekana katika eneo la tukio hayo mengine yatakuja tu kama ni wahindi au wachina ila kwa sasa walionekana pale ni whiteman so acha vitengo vya instigation wafanye kazi yao waza kisomiWaliofunika uso wamewajuaje kama ni wazungu? Wahindi, wachina au warusi maana hao ndo wanaujuzi wa kupoteza watu chini ya Putin. Labda wakwetu wamekwenda kozi huko.
Kwa akili zangu nilikuwa najua watu waliofikia level kama hiyo kuna mambo mengine ambayo hawashindwi kuyapata kuwa nayo katika mazingira yao yanayowazunguka kwa usalama zaidi ...mfano kuwa na gym binafsi kwa tajiri kama huyu nahisi ingelikuwa poaKweli mkuu...
Unajua nchi yetu ilipofikia ni katikati ya maendeleo na machafuko.
Watu wamekua wanakumbatia sana siasa kuliko uzalendo wa nchi yao.
Tunachokitafuta tutakipata...muda utasema.
Nikweli,,kwa mujibu wa camera za cctv ndio imeonyesha ivyo,,,wafuatilie na mawasiliano ya MO ya lisaa limoja kabla na ya jana,,eti ametekwa na wazungu 2! kioja cha mambosasa
Huyo mdeni ana nguvu sana.Kwahyo yawezekana mdeni kamteka... Sasa akimteka ndio atakua kalipa deni? Aturudishie Mo wetu simba ishachanua sababu yake