Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Watekaji inasemekana walikuwa na silaha kali hata kama alikuwa na body guard asingeweza kuzuia. Hii kulingana na matangazo ya redio yanayotangazwa na Charles Kiswanta wa Zenj.
Tycoon kama MO anakuwa na ulinzi binafsi. Tena wa makomandoo kabisa, siku zote mtekaji akishazingilwa haijalishi ana kifaru au SMG lazima ata surrender tu. Maana inayomuua mtu sio ile siraha, la hasha ni risasi iliyondani ya siraha, tena yenye ukubwa wa kipenyo cha sm 5!!
 
Propaganda za kuwahadaa watanzania zimeanza
Ni propaganda ambazo hazina maana kama atakua hana ushahidi wa kutosha ..maana hata albino akivaa maski ukitizama na kumtofautisha kwa rangi ya ngozi tu unaweza kuishia kusema ni wazungu, pia watekaji wanaweza wakavaa fake skin kuwapoteza maboya polisi na mashahidi
 
Kwa hiyo nini kifanyike
 
Mo amejiteka anatafuta kick.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya utekaji wa miaka ya nyuma na huu wa sasa! Utekaji wa miaka ya nyuma ni ule wa kutoa ujumbe kwamba "serikali haichezewi." Ulikuwa ni utekaji wa kutia watu adabu na kisha kuwaacha wakaendelee na maisha yao!

Kinyume chake, utekaji huu wa sasa, ukisalimika kwa kuliona jua la siku zinazofuatia, basi unatakiwa ukapike sadaka! Huu ni utekaji unaokusudia kuwapoteza kabisa victims.
 
Inawezekana. MO kila asubuhi yupo gym na ratiba yake haibadiliki kwa mtu mwenye pesa siyo vizuri kiusalama. Hata hivyo nadhani ni majambazi na sidhani kama wataishi kuona mwaka 2019.
 
Hili nalo neno mweh![emoji15]
 
Kule Tarime yule mfanyabiashara Peter Zacharia yeye hakuwakawiza walipojipendekeza aliwatwanga Risasi ndiyo njia sahihi ya kujikinga na wasiojulikana
 
Hii ni vita ya ndani kwa ndani dhidi ya raia.
Mungu tusaidie
 
Hao watu wasiojulikana ni hakina nani wasio na kifani cha kuwa adharani,?

Hao watu wasiojulikana huwa wanaishi angani, baharini mpaka kuwepo utata juu yao?

Zibaki kuwa ndoto endapo wakimdhuru wanayo majibu ya kutoa
 
Waliofunika uso wamewajuaje kama ni wazungu? Wahindi, wachina au warusi maana hao ndo wanaujuzi wa kupoteza watu chini ya Putin. Labda wakwetu wamekwenda kozi huko.
Katika ukusanyaji wa ushahid/taarifa it is scientific procedure kuanzia kuanza kuchunguza na ni lazima wakusanye taarifa zile zilizoonekana katika eneo la tukio hayo mengine yatakuja tu kama ni wahindi au wachina ila kwa sasa walionekana pale ni whiteman so acha vitengo vya instigation wafanye kazi yao waza kisomi
 
Kweli mkuu...

Unajua nchi yetu ilipofikia ni katikati ya maendeleo na machafuko.

Watu wamekua wanakumbatia sana siasa kuliko uzalendo wa nchi yao.

Tunachokitafuta tutakipata...muda utasema.
Kwa akili zangu nilikuwa najua watu waliofikia level kama hiyo kuna mambo mengine ambayo hawashindwi kuyapata kuwa nayo katika mazingira yao yanayowazunguka kwa usalama zaidi ...mfano kuwa na gym binafsi kwa tajiri kama huyu nahisi ingelikuwa poa

Ila kuna kipindi alikuwa anapost mambo ya madeni maden sijui tuunge doti ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…