Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Unabwabwaja tu, Rais wa Afighanstan alishafanyiwaga ambush akiwa chini ya ulinzi mkali na ni Mungu tu haikuwa siku yake ya kifo msafara wa Rais uliwakimbia Taliban.
 
Usipoteze muda mkuu na huyo mtoto wa kahaba
 
Mambosasa anavideo footage kua ni wazungu na kadhibitisha bila kutia shaka ama kaona rangi tu akakutupuka kua mi wazungu??

HOPEFULLY ANA CONCLUSIVE EVIDENCE KUWA NI WAZUNGU ; KWANI MTU MWEUSI ANAWEZA KUVAA MASK AKAONEKANA MZUNGU!!! UTANDAWAZI UMEWAFANYA BONGO CRIMINALS KUWA VERY SOPHISTICATED.
 
Kule Tarime waliokwenda wamejipanga tena wakiwa wengi na bunduki za kutosha lakini yule mfanyabiashara Zakaria aliwatangwa Risasi mpaka wakapagawa, njia ni kuishi kininja tu ukiona wasiojulikana anajihami kininja kwa kasi kubwa
Inahitaji moyo wa ujasiri mkuu,mambo yakienda tofauti tu your gone,zakaria aliwaweza sana
 
Wanaotekwa ni wengi ila kibongobongo msiba mzito ni wa tajiri.
Nawaza hapa lengo la mtekaji ni nini hasa?
Huenda polisi wamemshikilia kwa sababu wanazozijua wao.

Ben saa nane hajawahi kutafutwa wala watekaji hawatafutwi.mliompiga lisu wala hawasakwi ila MO watasakwa nchi nzima, iko siku mungu atakuwa athuman na watashaa watekaji
 
How can you recognise the race of someone in a mask? Kama rangi sawa lakini cha race siamini mpaka pale watudhihirishie bila mashaka..
 
Yule mfanyabiashara kule Tarime yeye aliwapiga Risasi bila msaada wa bodyguard iweje yeye ashindwe kujihami?
Unaambiwa Mo hata cha Moto akai nacho. Mara nyingi anakuwa nayo Dreva wake. Mo ni tajiri asiye na Makuu. Sijui Mwarabu wa wapi huyu jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…