Dah! Comments nyingine! Angetengeneza vingapi nyumbani kwake? Gym kwa leo imeonekana the best point ya wahalifu kufanya walichofanya. Wangeweza kufanyia uhalifu wao mahali, muda, na kwa staili tofauti. Kwa hoja yako, unamaanisha asitoke nyumbani kwake kabisa!Halaf kwanini asitengeneze gym kwake nae
Unabwabwaja tu, Rais wa Afighanstan alishafanyiwaga ambush akiwa chini ya ulinzi mkali na ni Mungu tu haikuwa siku yake ya kifo msafara wa Rais uliwakimbia Taliban.Tycoon kama MO anakuwa na ulinzi binafsi. Tena wa makomandoo kabisa, siku zote mtekaji akishazingilwa haijalishi ana kifaru au SMG lazima ata surrender tu. Maana inayomuua mtu sio ile siraha, la hasha ni risasi iliyondani ya siraha, tena yenye ukubwa wa kipenyo cha sm 5!!
Usipoteze muda mkuu na huyo mtoto wa kahabaHabari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?
Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?
Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?
Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?
Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?
Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???
Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Mambosasa anavideo footage kua ni wazungu na kadhibitisha bila kutia shaka ama kaona rangi tu akakutupuka kua mi wazungu??
Mo ni mtu wa watu sana. Nimewahi kumuona mara kibao tu anatembea kwa miguu tena peke yake. Nadhani ana maisha fulani mbali na utajiri alionao unamfanya aoenekane wa kawaida. Sijui watekaji wanataka nini?? Mungu amsaidie wamrudishe salama.Hatembeagi na bodyguard?
YaanMo ni mtu wa watu sana. Nimewahi kumuona mara kibao tu anatembea kwa miguu tena peke yake. Nadhani ana maisha fulani mbali na utajiri alionao unamfanya aoenekane wa kawaida. Sijui watekaji wanataka nini?? Mungu amsaidie wamrudishe salama.
Inahitaji moyo wa ujasiri mkuu,mambo yakienda tofauti tu your gone,zakaria aliwaweza sanaKule Tarime waliokwenda wamejipanga tena wakiwa wengi na bunduki za kutosha lakini yule mfanyabiashara Zakaria aliwatangwa Risasi mpaka wakapagawa, njia ni kuishi kininja tu ukiona wasiojulikana anajihami kininja kwa kasi kubwa
Ni kweliHebu fanya maarifa mdau tuzipate
He is safe in God we trustDah Mo, Mungu awe nawe popote pale ulipo
KumbeWatekaji wana interest na matajiri hivo kapuku hawana hela
Italibebaje wakati first suspect ni serikali?Hili si tukio dogo. Ni vyema serikali ikalibeba kwa uangalifu mzito.
Wanaotekwa ni wengi ila kibongobongo msiba mzito ni wa tajiri.
Nawaza hapa lengo la mtekaji ni nini hasa?
Huenda polisi wamemshikilia kwa sababu wanazozijua wao.
How can you recognise the race of someone in a mask? Kama rangi sawa lakini cha race siamini mpaka pale watudhihirishie bila mashaka..Katika ukusanyaji wa ushahid/taarifa it is scientific procedure kuanzia kuanza kuchunguza na ni lazima wakusanye taarifa zile zilizoonekana katika eneo la tukio hayo mengine yatakuja tu kama ni wahindi au wachina ila kwa sasa walionekana pale ni whiteman so acha vitengo vya instigation wafanye kazi yao waza kisomi
Ni kweli ama interest za kiasisa, umaarufu au hela, kama huna hivo sahau kutekwaKumbe
Walkuwa Uganda wamemaliza kazi Kyle, wamerudiInawezekana wasiojulikana wamemaliza likizo yao wameanza kazi
Unashangaa nini mkuu? Shetani hana Huruma.Aisee..hadi Mo??
Unaambiwa Mo hata cha Moto akai nacho. Mara nyingi anakuwa nayo Dreva wake. Mo ni tajiri asiye na Makuu. Sijui Mwarabu wa wapi huyu jamani?Yule mfanyabiashara kule Tarime yeye aliwapiga Risasi bila msaada wa bodyguard iweje yeye ashindwe kujihami?