mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Makosa hayo ya PGO yanaweza kuharibu ushahidi na ikawezekana kuharibu hukumu kabisa ndio pale utasikia wanaoenda jela sio wote wanna hatiaYaani wwe unataka mapungufu ya PGO ndiyo yasababishe muuwaji kushinda kesi!? Swali ni moja tu,katenda kosa au hajatenda kosa!!??
Na huyu atakaekula kifungo cha kunyongwa hadi kufa amerithi nini?Hao wakina Msuya ndio wana tatizo,jamaa yenu kashaoa nyie bado mnamfuata tu ...Haya mtu kashafariki bado mnataka mali na kuanza kumuandama wifi yenu kwa nni asiwamalize.
Wajinga wote wamekosa mali, yule aliyeuliwa alikuwa na mdomo sana .
Naweza kujibu kipande cha pili,-
- Hii kesi Kuna mkanganyiko mkubwa Sana, Shahidi ambaye inasemekana kuwa alikuwa ni mfanyakazi wa Ndani wa aneth msuya, kwa mujibu wa Kibatala ni kuwa hiyo sio mfanyakazi wa Ndani wa aneth msuya Bali ni police
- Kingine First Crime Report (taarifa ya awali ya kosa la jinai) inasema kuwa mtuhumiwa ni Getrude Peniel Mfuru (mfanyakazi wa Ndani wa aneth msuya) lakini, walioshitakiwa ni Miriam Mrita na Revocatus Muyella, Huyu aliyetajwa kwenye First Crime Report kaletwa Kama Shahidi wa 25 (Shahidi wa Mwisho)
- Kingine ni Taarifa aliyoileta Sajenti Obadiah, inasema hivi postmortem imefanyika asubuhi ya tarehe 27/5/2015 wakati mauaji yametokea usiku, inawezekanaje hili?
- Kingine ni kwenye Gwaride la utambulisho nalo Kuna makosa mfano, PGO inataka walete picha ya mnato waliofanyiwa Gwaride mahakamani, Kingine PGO inasema kuwa anayetakiwa kuandaa Gwaride la utambulisho anatakiwa kuwa gazetted officer yaani awe na cheo Cha mrakibu msaidizi wa police (ASP), lakini kwenye ushahidi ulioletwa unaonesha kwamba Gwaride la utambulisho liliandaliwa na Assistant inspector kinyume na PGO
na kumvua kyupi kabisa manake jamaa alimaliza kabla ya kumuaIla Mariam ni gaidi huyo mama. Huwezi kumuua binadamu mwenzio kinyama vile.
Unafikiri hv vimakosa vidogo vidogo vita mquit huyu mama, nyavu aliyowekewa ina matundu madogo sn inavua hadi dagaa sembuse huyu papa.-
- Hii kesi Kuna mkanganyiko mkubwa Sana, Shahidi ambaye inasemekana kuwa alikuwa ni mfanyakazi wa Ndani wa aneth msuya, kwa mujibu wa Kibatala ni kuwa hiyo sio mfanyakazi wa Ndani wa aneth msuya Bali ni police
- Kingine First Crime Report (taarifa ya awali ya kosa la jinai) inasema kuwa mtuhumiwa ni Getrude Peniel Mfuru (mfanyakazi wa Ndani wa aneth msuya) lakini, walioshitakiwa ni Miriam Mrita na Revocatus Muyella, Huyu aliyetajwa kwenye First Crime Report kaletwa Kama Shahidi wa 25 (Shahidi wa Mwisho)
- Kingine ni Taarifa aliyoileta Sajenti Obadiah, inasema hivi postmortem imefanyika asubuhi ya tarehe 27/5/2015 wakati mauaji yametokea usiku, inawezekanaje hili?
- Kingine ni kwenye Gwaride la utambulisho nalo Kuna makosa mfano, PGO inataka walete picha ya mnato waliofanyiwa Gwaride mahakamani, Kingine PGO inasema kuwa anayetakiwa kuandaa Gwaride la utambulisho anatakiwa kuwa gazetted officer yaani awe na cheo Cha mrakibu msaidizi wa police (ASP), lakini kwenye ushahidi ulioletwa unaonesha kwamba Gwaride la utambulisho liliandaliwa na Assistant inspector kinyume na PGO
Isomeke hukumu moderate.Ni kesi ambayo inasubiri hukumu, ni kesi ambayo imevuta hisia za watu wengi sn Tz na wanataka kujua hatima ya mke wa bilionea msuya ambaye anatuhumiwa kumuua wifi yake anethi msuya.
Kesi ilishafungwa na sasa tunasubili hukumu tuone itakuaje je yule mama atakutwa na hatia au ataachiwa huru?
Tusuburi.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Aliyeuwawa ni mama, dada,mtoto na binaadamu, haki imetendeka/ itendeke....MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemkuta na kesi ya kujibu aliyekuwa mke wa mfanyabiashara wa madini mkoani Arusha, marehemu Erasto Msuya, maarufu kwa jina la Bilionea Msuya, Miriam Mrita, anayetuhumiwa kumuua wifi yake, Aneth.
Mbali na Mrita mshtakiwa mwingine aliyekutwa na kesi ya kujibu ni mfanyabiashara Revocatus Muyela. Wamedai kuwa watapeleka mashahidi na vielelezo kuthibitisha tuhuma hizo dhidi yao na pia watajitetea kwa kiapo.
Uamuzi huo mdogo ulitolewa na Jaji Edwin Kakolaki wa mahakama hiyo, baada ya upande wa mashtaka kufunga kesi kwa mashahidi 25 na vielelezo mbalimbali kikiwamo kisu ambacho kinadaiwa kilitumika kumchinjia Aneth koromeo.
Jaji Kakolaki alisema mahakama baada ya kuzingatia ushahidi na vielelezo vilivyotolewa, imejiridhisha kwamba kuna kesi ya msingi ambayo inawatosheleza washtakiwa wajitetee kama sheria inavyotaka.
"Washtakiwa simameni, kwa mujibu wa kifungu 293 (2) na (a) (b) na cha (3) mahakama inawafahamisha pamoja na haki zenu nilizokwisha waeleza na pia mawakili wenu watawaelewesha kama mtakuwa hamjaelewa vizuri.
NIPASHE
Hizo ndiyo mali zenye muhali[emoji2827][emoji2827][emoji2827]Mali imeshaua dada na sasa huenda ikaua (kunyongwa) mke.
Huenda mali hiyohiyo ndiyo iliyomuua mwenyewe aliyeitafuta (bilionea Msuya).
Hizo ndiyo mali zenye muhali
Unayeeleza haujui uelezeacho na wanaokuunga mkono nao pia hawajui kiendeleacho.Hasira zipi tena na ndio ukweli..Mali za kaka ake zinamuhusu nn ?
Hata afungwe ilq yeye kashauliwa na kimdomo chake kirefu kwa tamaa za mali .
Kama Mali ulijipatia kistylestyle basiMali imeshaua dada na sasa huenda ikaua (kunyongwa) mke.
Huenda mali hiyohiyo ndiyo iliyomuua mwenyewe aliyeitafuta (bilionea Msuya).
Hizo ndiyo mali zenye muhali
Mali kama ulipatia kidhulumatidhulumati MaliTusisahau njia zetu za utafutaji, tuwe waangalifu namna tunavyopata Mali zetu.
Noma sana!Kama watu tungeelewa kuwa ukifa unaacha kila kitu. Basi tusingefanya unyama kisa pesa. Ukiwa na mabilioni bado utakula nyama finyango mbili tatu. Huwezi kula mbuzi mzima kisa wewe una hela.
Hukumu ishatoka nadhani umeonaUnafikiri hv vimakosa vidogo vidogo vita mquit huyu mama, nyavu aliyowekewa ina matundu madogo sn inavua hadi dagaa sembuse huyu papa.
ajiandae tu akikosa kitanzi basi ni life sentence.
[emoji419][emoji375][emoji25][emoji818]Mali kama ulipatia kidhulumatidhulumati Mali
Haidumu
Ova