Dar mpaka mwanza

Ototo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2016
Posts
1,237
Reaction score
1,140
"Urefu wa kutoka Dar mpaka Mwanza, ni sawa sawa na" Urefu kutoka Mwanza mpaka Dar ". Lakini Urefu wa kutoka" Ijumaa mpaka Jumatatu" ni mfupi kuliko Urefu wa kutoka "Jumatatu mpaka Ijumaa".
Sasa sijui alietunga kalenda hakuliona Hili. Au wakati wa vipimo alikua na usingizi?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Inategemea unapitia miji gani! Utokapo Dar kwenda Mwanza kama utapita Morogoro, Dodoma nk na kurudi ukapita humohumo urefu utakuwa sawa. Ijumaa mpaka Jumatatu unapita Jumamosi, Jumapili nk na kurudi anzia Jumatatu pita Jumapili, Jumamosi nk umbali utakuwa sawa!
 
Unajifanya una akili nyiiiingi
 
Unajifanya una akili nyiiiingi
Si suala la akili nyingi bali ni logic tu kwamba unatoka point A kwenda point B halafu kurudi toka point B kwenda A!
 
Si suala la akili nyingi bali ni logic tu kwamba unatoka point A kwenda point B halafu kurudi toka point B kwenda A!
Hahaha umetishaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…