Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
lawama kwa wazazi wa mwanamke, je mama hakujua kwamba mwanaye ni mwanafunzi na anagawa papuchi? je dini inaruhusu kutoa uchi kabka ya ndoa? ka a sivyo wazazi walaumiwe, haya je wazazi wa kiume hawakujua mwanao ana demu na ni kinyume cha maadili? mpaka afikie kipindi cha kuoa? kama ndivyo basi walaumiwe wote kabisa,
mapenzi na shule ni mbingu na jehanamu, bora hata watoto wafundishwe kupiga puli kuliko mapenzi.
Yaani siku hizi vijana vyuoni wanaishi kama husband and wife aka boyfriend and girlfriend!Huenda wakiwa ghouse, husband to be alipitia simu ya wife to be akakuta vitu na sms zisizofaa. Katika prukushani, husband to be akawa amakamata mtandio wa mpenzi wake kiasi ukatelezea shingoni kuwa km anamkaba. Binti kuona anakabwa ( ingawa ilikuwa tisha toto), akahamaki na kumng'ata kikwelikweli husband. Husband akatapatapa na kukaza kidogo mtandio ili wife asiendelee kumng'ata. Kukawa na kusukumana huku na huku kiasi mtandio ukakaza zaidi...........Pole yao. Mungu aepushie mbali haya!!!
Jaribu kurekebisha neno kwenye red.INAUMA sana! Mrembo Happyness Fredric ‘Happy’, mkazi wa Yombo-Kanisani jijini Dar ambaye alikuwa ni denti wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), anadaiwa kuuawa kikatili kwa kunyonywa na kamba nzito hadi kufa, Uwazi lina mkasa wa kukutoa machozi
Wakutane ili iweje?? Yawezekana alikuwa anawapanga foleni. Kuna wa chuo na wa kitaa. Sasa walipomgundua mchezo wake ndo wakaamua kumfanyia hayo. Mnyonge mnyongeni lakini haki mpeni.Sometime wasichana ni wajinga sana pengine alilazimisha kurudi likizo nyumbani ili akutane na mpenzi wake, R.I.P binti, huyo mchumba wake kazi anayo.
Mwanakaya aliyeuawa gesti?
Vipi una watoto? Kama unao na hasa wa kike usiombe jambo kama hilo limtokee huyo binti yako maana kipindi hicho hautayakumbuka haya uliyoyaandika.lawama kwa wazazi wa mwanamke, je mama hakujua kwamba mwanaye ni mwanafunzi na anagawa papuchi? je dini inaruhusu kutoa uchi kabka ya ndoa? ka a sivyo wazazi walaumiwe, haya je wazazi wa kiume hawakujua mwanao ana demu na ni kinyume cha maadili? mpaka afikie kipindi cha kuoa? kama ndivyo basi walaumiwe wote kabisa,
mapenzi na shule ni mbingu na jehanamu, bora hata watoto wafundishwe kupiga puli kuliko mapenzi.
Ile ilitokea bunju au tegeta kama sikosei binti alienda kumpokea mchumba aliekua anatokea mbea wote walikua wanakwaya
Ila nionavyo hayo maneno hayakuandikwa na binti na badala yake yaliandikwa na wauaji wake muda mrefu baada ya kumuua. Nasema hivyo kwa sababu kwa maelezo ya baba mzazi hadi saa nne usiku alimpigia simu mwanae bila simu kupokelewa na baada ya muda fulani mkewe akamtumia sms binti na ndipo akajibiwa hilo jibu kwamba hayupo katika mikono salama. Lakini walipofika polisi wakaambiwa mwili wa binti uliokotwa saa mbili usiku huo.😢😢😢😢😢Maandishi haya yamenitoa machozi. Apumzike kwa amani.
Nchi za wenzetu kila mahali kuna cct camera mauwaji ya ajabu ajabu hakunaIla nionavyo hayo maneno hayakuandikwa na binti na badala yake yaliandikwa na wauaji wake muda mrefu baada ya kumuua. Nasema hivyo kwa sababu kwa maelezo ya baba mzazi hadi saa nne usiku alimpigia simu mwanae bila simu kupokelewa na baada ya muda fulani mkewe akamtumia sms binti na ndipo alajibiwa hilo jibu kwamba hayupo katika mikono salama. Lakini walipopiga simu polisi wakaambiwa mwili wa binti ulipatikana saa mbili usiku huo.
Dar ni UDSM?Title umeandika UDSM ndani UDOM, anyway pole kwa wafiwa