Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Hahaha kwanini.ongeza siku ,siku mbili hazitoshi bna
UgandaUnatokea nchi gani?
Kwanini mkuuDuuuh kweli dunia ina mengi kuliko hata ninayo yahitaji
Wewe unahitaji kampani ya hapo mjini lakini watu wanaogopa kuibiwa na hao wa mjiniKwanini mkuu
Mkuu kwa hilo wasiwe na wasi wasi na ndio maana nikasema waje na nguo tu.Wewe unahitaji kampani ya hapo mjini lakini watu wanaogopa kuibiwa na hao wa mjini
Wengine wanatamani waje kutembelea ulipo nawe unatamani kwenda kutembelea kwao
Hahaha alimpata ndio maana hakua na shida ya kujibu tena wengine.Kuna msichana mmoja alikuja na uzi kuwa anapenda sana kucheza mziki. Nami kwa sababu nataman kujua kucheza nkamfuata inbox japo tukutane anifundishe kucheza mpaka leo hakujibu
Unavyo zungumzia nguo usije kuta mtu amekuja na begi loteMkuu kwa hilo wasiwe na wasi wasi na ndio maana nikasema waje na nguo tu.
Hahaha kama atakuja nalo disco sawa.Unavyo zungumzia nguo usije kuta mtu amekuja na begi lote
Subiri wahusika watakuja mkuuHahaha kama atakuja nalo disco sawa.
miss kuna mtu kakutukana nikamletee noma dada yanguongeza siku ,siku mbili hazitoshi bna
Bi dada yupi tena?Mshaambiwa mkija msikorome.
Nitagieni yule Bi dada najua alipo ananiona ndimu.
Ila ndo basi tena.😀😀
hahaaaa. Ile sredi mdada flani jina limenitoka analalamika wanaume wasikoromeeeBi dada yupi tena?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaaaa. Ile sredi mdada flani jina limenitoka analalamika wanaume wasikoromeee