Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Jamani nimefanya nn tena best?Ushamba umekujaa
Soma tena mada yakoDuh! Jamani nimefanya nn tena best?
Mada yangu naijua kwani tatizo nini.Soma tena mada yako
Vp za uganda umezionajeUganda
Na mazao yatakua mengi.Ushamba umekujaa
Nini mkuuVp za uganda umezionaje
Mgegedo..kuna mtu alianzisha uzi wa kuzisifiaNini mkuu
Hahaha mkuu kwani mie nimesema nataka papuchi, mbona najua kusema hivyo na sijazowea kununua ila nimezowea disco ndo ugonjwa wangu.Usifikiri wabongo ni washamba na cheap kiasi hicho. Kuwa straight kama unataka papuchi nenda kwenye magulio ya papuchi zipo kibao za kila aina.
Ila kama vp fungua mtandao unaoitwa exotic tanzania huko utapata za kutosha. Ila kwa kuahidi bia ambazo hazijai hata kisado utaambulia patupu.
Hapana mi sijui ladha yake maana nna mwezi wa sita tangia kwenda sijawahi kugusa hata siku moja Mungu shahidi.Mgegedo..kuna mtu alianzisha uzi wa kuzisifia
Nimekutag.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijaiona hiyo
Okey.naona unajipaliliaHapana mi sijui ladha yake maana nna mwezi wa sita tangia kwenda sijawahi kugusa hata siku moja Mungu shahidi.
Sio kwamba najipalilia nasema kweli na sio kwamba hawapatikani wako wengi mno lakini offer yangu ni Dar.Okey.naona unajipalilia
Kila la heriSio kwamba najipalilia nasema kweli na sio kwamba hawapatikani wako wengi mno lakini offer yangu ni Dar.
Na pia Dar sio kwamba nataka kahaba hapana ni kuinjoy (kampani) kama nilivyosema huko juu.
Na vile vile sio kwamba nikiamua kutaka kampan haipatikani hapana, nimetoa kwa ajili ya wadada wa JF.
Hakuna shidamiss kuna mtu kakutukana nikamletee noma dada yangu
Dunia sahani pakua unachotakaDuuuh kweli dunia ina mengi kuliko hata ninayo yahitaji
[emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji485]Dunia sahani pakua unachotaka
Mkuu mbona povu. Hujalikwa wewe au wewe ni aunt?.Usifikiri wabongo ni washamba na cheap kiasi hicho. Kuwa straight kama unataka papuchi nenda kwenye magulio ya papuchi zipo kibao za kila aina.
Ila kama vp fungua mtandao unaoitwa exotic tanzania huko utapata za kutosha. Ila kwa kuahidi bia ambazo hazijai hata kisado utaambulia patupu.