Dar: Nukuu za Rais Samia wakati wa utiaji saini ujenzi wa reli (SGR) Makutupora - Tabora

Dar: Nukuu za Rais Samia wakati wa utiaji saini ujenzi wa reli (SGR) Makutupora - Tabora

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
#DARESSALAAM :- NUKUU ZA RAIS SAMIA WAKATI WA UTIAJI SAINI WA UJENZI WA RELI MAKUTOPORA - TABORA

Rais Samia Suluhu Hassan akishuhudia utiaji saini ujenzi wa reli ya kisasi (SGR) kutoka Makutopora- Tabora yenye urefu wa kilomita 368, kikiwa na thamani ya dola bilioni 1.98 sawa na Sh.4.4 trilioni. Ujenzi utakuwa wa miezi 46.

"Leo hii tumekusanyika hapa kushuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha kutoka Makutupora hadi Tabora, KM 368 na mkataba huu una thamani ya Trilioni 4.41 ukijumuisha na kodi ya ongezeko la thamani." @samia_suluhu_hassan

"Uwekezaji kwenye reli mpaka sasa umefikia Sh.14 trilioni kwa njia yoyote, tutakopa, tutaangalia njia rahisi kwani hatutazitoa kwenye tozo au tunazokusanya ndani. Kwa hiyo tutakopa ili kumamilisha mradi huu" Rais @samia_suluhu_hassan

"Tayari nimeagiza wizara ya ujenzi na uchukuzi kukamilisha utaratibu wa manunuzi ili kumpata mjenzi wa reli wa Tabora- Isaka na Tabora- Kigoma. Baadaye Kaliua-Mpanda mpaka Kalema" Rais @samia_suluhu_hassan

"Tukiweza kuiunganisha na nchi zote zinazotuzunguka, uchumi wetu utakua sana kwani tutakuwa na njia za kwenda kokote. Wizara hakikisheni mnakamilisha hili na lengo ni kuifanya nchi yetu inakuwa kitovu cha biashara"- Rais @damia_suluhu_hassan

"Kama walidhani kutakuwa na kusimamisha miradi wapate la kusema halipo, halipo na kuna jitihada za kutuvunja mioyo kwenye mikopo, hata nchi zilizoendelea zinakopa, tutakopa kwani ukikopa unajenga haraka na mikopo hii ni ya miaka 20, kwa hiyo tutakopa na tutalipa taratibu" Rais @samia_suluhu_hassan

"Serikali itaendelea na miradi ya kimkakati ukiwemo huu wa reli ya kisasa. Ujenzi na utekeleza wa miradi mipya tutaendelea kusimamia na kuanzisha mipya. Sasa kuna wale ambao hawataki kuona inaendelezwa, wakandarasi hawadai hata senti moja, ujenzi wa bwawa unakwenda vizuri" Rais @samia_suluhu_hassan

Niwaombe sana wanaosimamia ujenzi wa reli, wahakikishe inakuwa yenye viwango na ijengwe kama inavyokusudiwa. Hizi ni fedha za Watanzania, tusifanye vitu kwa ubora. Hata ikiharibika miaka mitatu na mkandarasi kaondoka, tutashikana - Rais @samia_suluhu_hassan

#MamaYukoKazini

20211228_130322.jpg
 
Inategemea na mkataba kumkamata huyo mkandarasi.

Mama angekuwa amejiandaa vizuri, angetamka na kipengele cha mkataba kinachompa haki ya kumbana mkandarasi aliekabidhi kazi na kazi kuharibika ndani ya muda mfupi.
 
A very wrong mentality iliyokuwa imejengeka awamu ya tano na ambayo awamu ya sita inaona ugumu ku- clarify ni kwamba awamu ya tano ilikuwa inafanya miradi yote kwa hela za ndani. Mwananichi wa kawaida atajiuliza tu maswali nini kimetokea had sasa tunashidwa ku- finance miradi ya maendeleo? Wanasiasa wanaotafuta sympathy ya public watatumia udhaifu huo kujijenga kisiasa.

Awamu ya sita inatakiwa kueleza wazi kuwa miradi mingi iliyokuwa imeeanza awamu ya tano ilikuwa inatekelezwa kwa mikopo ya masharti nafuu, toka taasisi za ndani au nje. Ni kweli kuwa ukikopa fedha unatakiwa kuilipa , hivyo ni sahihi kiasi kusema unatekeleza kwa fedha zako. Ila, ili kuondoa confusion ielezwe wazi na ieleweke
 
Kumbe miradi inaendelea..

Hii lugha kwamba miradi imedorora huenda ilikuwa ni chuki..

Kwahyo by 2025, miradi ya SGR na Rufiki itakuwa imekamilika..
 
Humu ndani mlikuwa mnawadhihaki Kenya kwa kujenga SGR kwa mkopo, Sasa bwana China atakuwa tayari kuwapa fedha. Halafu kituo kinachofuata wote tunakifahamu. China itakwenda kumiki bandari na Reli Ni suala la muda tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
#DARESSALAAM :- NUKUU ZA RAIS SAMIA WAKATI WA UTIAJI SAINI WA UJENZI WA RELI MAKUTOPORA - TABORA

Rais Samia Suluhu Hassan akishuhudia utiaji saini ujenzi wa reli ya kisasi (SGR) kutoka Makutopora- Tabora yenye urefu wa kilomita 368, kikiwa na thamani ya dola bilioni 1.98 sawa na Sh.4.4 trilioni. Ujenzi utakuwa wa miezi 46.

"Leo hii tumekusanyika hapa kushuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha kutoka Makutupora hadi Tabora, KM 368 na mkataba huu una thamani ya Trilioni 4.41 ukijumuisha na kodi ya ongezeko la thamani." @samia_suluhu_hassan

"Uwekezaji kwenye reli mpaka sasa umefikia Sh.14 trilioni kwa njia yoyote, tutakopa, tutaangalia njia rahisi kwani hatutazitoa kwenye tozo au tunazokusanya ndani. Kwa hiyo tutakopa ili kumamilisha mradi huu" Rais @samia_suluhu_hassan

"Tayari nimeagiza wizara ya ujenzi na uchukuzi kukamilisha utaratibu wa manunuzi ili kumpata mjenzi wa reli wa Tabora- Isaka na Tabora- Kigoma. Baadaye Kaliua-Mpanda mpaka Kalema" Rais @samia_suluhu_hassan

"Tukiweza kuiunganisha na nchi zote zinazotuzunguka, uchumi wetu utakua sana kwani tutakuwa na njia za kwenda kokote. Wizara hakikisheni mnakamilisha hili na lengo ni kuifanya nchi yetu inakuwa kitovu cha biashara"- Rais @damia_suluhu_hassan

"Kama walidhani kutakuwa na kusimamisha miradi wapate la kusema halipo, halipo na kuna jitihada za kutuvunja mioyo kwenye mikopo, hata nchi zilizoendelea zinakopa, tutakopa kwani ukikopa unajenga haraka na mikopo hii ni ya miaka 20, kwa hiyo tutakopa na tutalipa taratibu" Rais @samia_suluhu_hassan

"Serikali itaendelea na miradi ya kimkakati ukiwemo huu wa reli ya kisasa. Ujenzi na utekeleza wa miradi mipya tutaendelea kusimamia na kuanzisha mipya. Sasa kuna wale ambao hawataki kuona inaendelezwa, wakandarasi hawadai hata senti moja, ujenzi wa bwawa unakwenda vizuri" Rais @samia_suluhu_hassan

Niwaombe sana wanaosimamia ujenzi wa reli, wahakikishe inakuwa yenye viwango na ijengwe kama inavyokusudiwa. Hizi ni fedha za Watanzania, tusifanye vitu kwa ubora. Hata ikiharibika miaka mitatu na mkandarasi kaondoka, tutashikana - Rais @samia_suluhu_hassan

#MamaYukoKazini

View attachment 2060526
Kaziindelee Tanzania na Samia
 
#DARESSALAAM :- NUKUU ZA RAIS SAMIA WAKATI WA UTIAJI SAINI WA UJENZI WA RELI MAKUTOPORA - TABORA

Rais Samia Suluhu Hassan akishuhudia utiaji saini ujenzi wa reli ya kisasi (SGR) kutoka Makutopora- Tabora yenye urefu wa kilomita 368, kikiwa na thamani ya dola bilioni 1.98 sawa na Sh.4.4 trilioni. Ujenzi utakuwa wa miezi 46.

"Leo hii tumekusanyika hapa kushuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha kutoka Makutupora hadi Tabora, KM 368 na mkataba huu una thamani ya Trilioni 4.41 ukijumuisha na kodi ya ongezeko la thamani." @samia_suluhu_hassan

"Uwekezaji kwenye reli mpaka sasa umefikia Sh.14 trilioni kwa njia yoyote, tutakopa, tutaangalia njia rahisi kwani hatutazitoa kwenye tozo au tunazokusanya ndani. Kwa hiyo tutakopa ili kumamilisha mradi huu" Rais @samia_suluhu_hassan

"Tayari nimeagiza wizara ya ujenzi na uchukuzi kukamilisha utaratibu wa manunuzi ili kumpata mjenzi wa reli wa Tabora- Isaka na Tabora- Kigoma. Baadaye Kaliua-Mpanda mpaka Kalema" Rais @samia_suluhu_hassan

"Tukiweza kuiunganisha na nchi zote zinazotuzunguka, uchumi wetu utakua sana kwani tutakuwa na njia za kwenda kokote. Wizara hakikisheni mnakamilisha hili na lengo ni kuifanya nchi yetu inakuwa kitovu cha biashara"- Rais @damia_suluhu_hassan

"Kama walidhani kutakuwa na kusimamisha miradi wapate la kusema halipo, halipo na kuna jitihada za kutuvunja mioyo kwenye mikopo, hata nchi zilizoendelea zinakopa, tutakopa kwani ukikopa unajenga haraka na mikopo hii ni ya miaka 20, kwa hiyo tutakopa na tutalipa taratibu" Rais @samia_suluhu_hassan

"Serikali itaendelea na miradi ya kimkakati ukiwemo huu wa reli ya kisasa. Ujenzi na utekeleza wa miradi mipya tutaendelea kusimamia na kuanzisha mipya. Sasa kuna wale ambao hawataki kuona inaendelezwa, wakandarasi hawadai hata senti moja, ujenzi wa bwawa unakwenda vizuri" Rais @samia_suluhu_hassan

Niwaombe sana wanaosimamia ujenzi wa reli, wahakikishe inakuwa yenye viwango na ijengwe kama inavyokusudiwa. Hizi ni fedha za Watanzania, tusifanye vitu kwa ubora. Hata ikiharibika miaka mitatu na mkandarasi kaondoka, tutashikana - Rais @samia_suluhu_hassan

#MamaYukoKazini

View attachment 2060526
 
Back
Top Bottom