kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Wana siasa bwana
Ommy mwalimu alitangaza Jopo LA madaktari wakaonesha mpaka mzungu
Lakini wapi
Ommy mwalimu alitangaza Jopo LA madaktari wakaonesha mpaka mzungu
Lakini wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika vema, lakini tuna madaktari hapa Tanzania nadhani hizo lawama zinawahusu,, mimi ni mhanga wa moja wa madaktari hao.. Afya imekua biashara na sio huduma tenaPole kwa wafiwa.
Madaktari wasivunjike moyo, hata mbuyu ulianza kama mchicha, ni kweli kibinadamu inaumiza kuna watu watahisi madaktari wanachezea uhai wa watu.
Ila hakuna mafanikio bila majaribio kadhaa yaliyoshindikana, inaumiza tu kwa kuwa ni binaadamu mwenzetu, hata huko kwa wenzetu yanatokea, si kila wanalofanya wanafanikiwa.
Watanzania tujifunze kupunguza lawama, tunawavunja moyo watu wanaojaribu kutafuta namna ya kutuponya hapa hapa nchini.
Wapumzike kwa amani malaika
Trials + Errors=PerfectPole kwa wafiwa.
Madaktari wasivunjike moyo, hata mbuyu ulianza kama mchicha, ni kweli kibinadamu inaumiza kuna watu watahisi madaktari wanachezea uhai wa watu.
Ila hakuna mafanikio bila majaribio kadhaa yaliyoshindikana, inaumiza tu kwa kuwa ni binaadamu mwenzetu, hata huko kwa wenzetu yanatokea, si kila wanalofanya wanafanikiwa.
Watanzania tujifunze kupunguza lawama, tunawavunja moyo watu wanaojaribu kutafuta namna ya kutuponya hapa hapa nchini.
No, tusianze kuwalaumu madaktari wakati hatujui muunganiko wa watoto hao ulikuwaje. Yawezekana kulikuwa na utata (complication).RIP Pacha. Hivi Madaktari wa bongo wamesomea nn?
Kama kulikua na utata why walifanyiwa operation?huwezi aka bet kwenye uhai wa binadamu, nchi zinazojielewa permits za madakitari hawa zingesimamishwa hadi tume huru ya wataalamu ije na mrejesho, huyu mama mfiwa iM sorry hakuna kitakachofanyika kwake, Angelus kwenye nchi zinazojielewa ,angemfungulia kesi ya madai waziri wa afya, hospital iliyo fanya operation hii,na madakitari, but bongo land hawa doctors maisha yao yanaendelea Maana wao na familia zao ni matibabu UK,India, US au Millpark med clinicNo, tusianze kuwalaumu madaktari wakati hatujui muunganiko wa watoto hao ulikuwaje. Yawezekana kulikuwa na utata (complication).
Tangu awali binafsi nilisema kutenganishwa na kufanikiwa kwa iparesheni ni mambo mawili tofauti, hats hivyo haukupita muda mmoja alifariki na sasa huyu naye amefariki!, pole mama mzazi wa mapacha hawa.View attachment 2321684
Mtoto Rehema ambaye ni pacha aliyekuwa amesalia baada ya mwenzake waliyetenganishwa kufariki dunia, naye ameaga Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jana Agosti 11, 2022.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa MNH, Aminiel Aligaesha amesema: "Ni kweli amefariki jana saa tano asubuhi".
Watoto hao walifanyiwa upasuaji wa kutenganishwa Julai Mosi, 2022, pacha wa kwanza, Neema alifariki Julai 10, 2022.
Pia soma:
Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia
Kuua.RIP Pacha. Hivi Madaktari wa bongo wamesomea nn?
Kwani alikuwa na dosari gani? Kuwa na akili basi.Huyo binti Sasa hana dosari inabid aolewe haraka.
Sayansi haina kubahatisha!sasa wangekuaje wakiwa hivyo jaman! kumbuken hiyo operationa yao walikuwepo na wazungu kibao hapo! Imeandikwa hivyo tu jaman maisha ni kubahatisha