Mwadilifu Mdhulumiwa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2021
- 419
- 640
Mponyaji ni Mungu pekee ila Madaktari ni watekelezaji tu kuisaidia afya yako.Unataka tuwatie moyo kwa uzembe wa wazi na makusudi kabisa..? Waliwafanyia operation kwajil yakutaka sifa tu, ilitakiwa wangoje watoto wakomae kidogo... Baadhi ya madaktari walihojiwa kabla ya operation, wakasema kisomi zaidi wanatakiwa wafanyiwe baada ya mwaka au miaka miwili...
Sisi Bado.ngewapeleka Kwa Wenye shughuli zao. RPI Mapacha. Pole Sana Mama Yao.Pole kwa mama mfiwa,Madakatari mjitathmini,siku nyingine watu wataogopa kutenganisha watoto sasa
Hv hapo gharama zilikuwa za serikali ama wazazi?View attachment 2321684
Mtoto Rehema ambaye ni pacha aliyekuwa amesalia baada ya mwenzake waliyetenganishwa kufariki dunia, naye ameaga Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jana Agosti 11, 2022.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa MNH, Aminiel Aligaesha amesema: "Ni kweli amefariki jana saa tano asubuhi".
Watoto hao walifanyiwa upasuaji wa kutenganishwa Julai Mosi, 2022, pacha wa kwanza, Neema alifariki Julai 10, 2022.
Pia soma:
Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia
Majaribio unafanyia kwa binadamu?Pole kwa wafiwa.
Madaktari wasivunjike moyo, hata mbuyu ulianza kama mchicha, ni kweli kibinadamu inaumiza kuna watu watahisi madaktari wanachezea uhai wa watu.
Ila hakuna mafanikio bila majaribio kadhaa yaliyoshindikana, inaumiza tu kwa kuwa ni binaadamu mwenzetu, hata huko kwa wenzetu yanatokea, si kila wanalofanya wanafanikiwa.
Watanzania tujifunze kupunguza lawama, tunawavunja moyo watu wanaojaribu kutafuta namna ya kutuponya hapa hapa nchini.
RIP Pacha. Hivi Madaktari wa bongo wamesomea nn?
Benjamin Carson wangekuwa wazima wote haoImenikumbusha movie inaitwa " Gifted Hands "
Ndo wafanyie majaribio Kwa wnadamu? Kwanini wasiwe wanajaribubkwanza Kwa wanyama Ili waone athari ni zipi? Bila shaka Kuna BAADHI ya pacha hua hawatenganishwi. Kuna mabinti wapo ulaya na vijana wapo hapo India ni wakubwa wameungana na wanapendelea vizuriPole kwa wafiwa.
Madaktari wasivunjike moyo, hata mbuyu ulianza kama mchicha, ni kweli kibinadamu inaumiza kuna watu watahisi madaktari wanachezea uhai wa watu.
Ila hakuna mafanikio bila majaribio kadhaa yaliyoshindikana, inaumiza tu kwa kuwa ni binaadamu mwenzetu, hata huko kwa wenzetu yanatokea, si kila wanalofanya wanafanikiwa.
Watanzania tujifunze kupunguza lawama, tunawavunja moyo watu wanaojaribu kutafuta namna ya kutuponya hapa hapa nchini.