DAR: Pambano la watanani wa jadi, Simba Vs Yanga

Troll JF

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
7,804
Reaction score
12,237
Leo ndiyo Leo Siku ya Kariakoo Derby timu zote zikitokea wilaya ya Ilala na Kata ya Kariakoo.

Match preview
Simba ikitafuta kufuta uteja wa miaka ya hivi karibuni na Yanga ikiendeleza Ubabe wake.

Simba Ina mabadiliko sana ukilinganisha na Yanga ambayo wachezaji wengi ni walele hivyo kutakua na upinzani mkali sana.

Team News


Yanga XI ( 3-5-2 )
Mustapha,Bossou, Yondani, Twite
Mwinyi, Abdul, Mahadhi, Kamusoko, Kaseke, Ngoma, Tambwe.
 
Hapo sasa! Team simba! Dabi ya kkoo! Mi yangu machooo !toka lini simba akashikwa sharubu labda?usione kalala ni pouz tuu! Teh! Sijasema mimi!
 
Hapo sasa! Team simba! Dabi ya kkoo! Mi yangu machooo !toka lini simba akashikwa sharubu labda?usione kalala ni pouz tuu! Teh! Sijasema mimi!
Jamani nimekumiss hadi naumwa.Upo kweli mamie!
 
Hapo sasa! Team simba! Dabi ya kkoo! Mi yangu machooo !toka lini simba akashikwa sharubu labda?usione kalala ni pouz tuu! Teh! Sijasema mimi!
Mkuu, yafaa kuweka akiba ya maneno.....msimu uliopita unafahamu matokeo yake?
 
Leo kwa uwezo wa mungu yanga watapewa kipigo
 
Kipigo kwa kandambili lazima Leo.!
 
Ile habari ya 5-0 huenda ikajirudia tena! Kichuyaaaa, Ajiiiiibuuuu, Ngomaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…