The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
DAR kuna Tatizo Mahali. Katika mkoa ambao wanafunzi wame fail Zaidí ni DAR.
Kwa sasa DAR Siyo sehemu salama Kwa elimu ya mtoto.
Pamoja na facilities kibao lakini performance ni Mbovu sana kupita mikoa yote.
Huenda Tatizo la malezi, strarehe na mazingira ya shule ni Tatizo kubwa.
Ni aibu jiji kama Dar kuzidiwa na mkoa kama simiyu.
Kwa sasa DAR Siyo sehemu salama Kwa elimu ya mtoto.
Pamoja na facilities kibao lakini performance ni Mbovu sana kupita mikoa yote.
Huenda Tatizo la malezi, strarehe na mazingira ya shule ni Tatizo kubwa.
Ni aibu jiji kama Dar kuzidiwa na mkoa kama simiyu.