Dar: Polisi wafanya mazoezi ya utayari wa kupambana na uhalifu wowote. RCP Muliro asema hawataruhusu kikundi cha watu kutengeneza hofu

Naichukia sn hii kazi.
 
ITV mnawapa airtime wavunja amani ya nchi na waonevu wa Watanzania? Mnasikitisha sana.
 
Umemaliza Depo lini constebo usie na akili???
 
Napendekeza wavunjwe viuno kabisa Hawa wafuasi wa ghaidi mbowe
Tukiwa na ushabiki wa kawaida kwenye siasa Kama ilivyo kwenye ushabiki wa mpira, tunapungukiwa nn? Kwanini kwenye siasa tuchukiane hivyo!! Hao unaotaka wavunjwe viuno, wengine ni waume wa shangazi yako!! Sasa shangazi yako atapewa utamu na nani?
 
Ok kabla hawajafanya hiyo zitashuka drone toka mbinguni, zitawachakaza. Hawataamini bora waachane na na mikwara mbuzi, casualties itakuwa ni 20 /80%
Watumia zaidi nyie askari wazalendo kataeni kuwadhuru ndugu zenu, la sivyo mtatapata madhara makubwa zaidi
 
Hahahaha. Jeshi lakiwaki kuwahi kutokea duniani. Yani kujirusharusha hapo na viribatumbo vyao ndio wanaona kuwa wanatishia watu.

Kweli ukiwa na akili finyu ni uozo mtupu.
 

Huo upuuzi polisi wanafanya ni bora wangetumia hiyo nguvu kumkamata aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini. Nyie ndio mnafanya wazungu waendelee kutuita manyani.
 
Hawa boko haram wana hamu sana ya kichapo

Polisi wanafanya maigizo ya kitoto kupambana na watu wasio na silaha, wakati kuna mtu amejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, na hakuna lolote wamemfanya. Hao polisi wanaficha udhaifu wao wa kiutendaji kwa kuwafurahisha majizi ya kura. Hiyo Cdm haina mbunge hata mmoja, lakini promo lake sio la nchi hii. Kwahiki kinachoendelea naiona ccm ikifika tamati hivi karibuni.
 
Acha ujinga kujengea hofu watu, acha tuendelee na shughuli za maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…