Dar: Polisi wafanya mazoezi ya utayari wa kupambana na uhalifu wowote. RCP Muliro asema hawataruhusu kikundi cha watu kutengeneza hofu

Dar: Polisi wafanya mazoezi ya utayari wa kupambana na uhalifu wowote. RCP Muliro asema hawataruhusu kikundi cha watu kutengeneza hofu

Askari wa jeshi la polisi wakiongozwa na kamanda wa kanda maalumu afande Muliro leo wamefanya mazoezi maalumu.

Afande Muliro amesema mazoezi hayo ni ya kawaida kwa askari kujiweka tayari kupambana na uhalifu.

Haya mazoezi yangefanyika kipindi kile Kuna wimbi la "wasiojurikana"ingeleta heshima,tatizo jeshi hili ni Attach dogs ya the ruling elites.hawana akili zao,wanafanya wanachoamlishwa,Ili mradi ugari upatikane.
 
Wanachama wa chadema wamegoma kufanya maandamano yao kesho baada ya kugundua kuwa viongozi wakubwa wa chama hicho hawatokuwepo maandamanoni. Ukweli ni kwamba hakuna mtu atakaekuwa tayar kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya maisha ya mtu mungine. Kesho viongozi wa chadema wakishiriki maandamano kama wanavyomaanisha nyumbu wao hapa jukwaani, basi mi nitachoma nyumba yangu moto live afu niwatumie video muione inavyoteketea.
Nyumba yang imepona kwa sababu ya uzembe wa viongozi wa Chadema.
 
Tusi kubwa sana ukiambiwa unaakili kama polisi wa Tanzania
 
Siro anatumika na Sukuma Gang kumhujumu Rais Samia,ila Mama anaona wanamsaidia kuwakomoa Chadema. Na kwa kiasi kikubwa hii kampeni yao imefanikiwa kwani Mama kaingia mzima mzima kwenye huu mtego.
Kwisha habari yake arudi akaongoze znz.
Bara mamluki hatutaki
 
Zina laana ndio maana wengi wanakufa maskini
Ulishaona mtu anazikwa na mali zake!!!

Kesho weka kengere wakubake,hii mikwarwa ya jf haitamsaidia mwenyekiti,anakutegemea wewe kwa maamuzi yako ya kiume.
 
Back
Top Bottom