Wanaogopa kuambiwa kuwa wanasubiri watu wafanikiwe ndio wanajitokeza, refer mwakinyo, sembuNaona tungefuzu AFCON ndo ingekuwa poa kuwaalika huko Ikulu..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaogopa kuambiwa kuwa wanasubiri watu wafanikiwe ndio wanajitokeza, refer mwakinyo, sembuNaona tungefuzu AFCON ndo ingekuwa poa kuwaalika huko Ikulu..!
Mwache tu awape makavu live. Sasa ulitaka awabembeleze wakati huku anawapa msosi wa bure?Afadhali wasingeenda. Naangalia hapa nachoona kama anawavunja moyo tu maana anawapa makavu laivu ambayo hakupaswa kuyasema sasa.
Alafu mpira haujui, anadai bado tumefungwa sababu cape verde walitufunga tatu bila sisi tukawafunga 2. Eti bado tunadaiwa goli moja.
Nashauri aachane na mpira sio kutafuta kiki.
Ona vichwa chini wote...haha hivi kwanini wabongo tuko hiv!Tayari wachezaji wapo ikuluView attachment 903117
Rais Dkt. John Magufuli leo Oktoba 19, 2018 atakutana na wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na baadaye kula nao chakula cha mchana Ikulu jijini Dar es salaam.
Tuwe pamoja kwa yatakayojiri hapo baadaye.View attachment 902931
We are Tanzanian not Ugandan. So pls stop kutufananisha nao.
hembu tupe maoni yako ungependa iitwejeAfadhari huenda atagusia na suala la kubadiri jina la Timu yetu ya Taifa ama kuipa "Nick name" mpya. Tumechoka kuonekana watu wa kuvutia kwa kila timu ya taifa kuja kutuangalia "stars"
Kila anayetaka kuona nyota basi anakuja Tanzania. "
Ama yale yale ya "Unguja Njema atakaye na aje.."
Tunataka Nickname itakayo watisha na kuwaogopesha wapinzani wetu, wakisikia jina letu watetemeke waingiwe hofu na mashaka juu yetu.
"Tubadirishieni wimbo huu tafadhariii "....!!
Kwa mantiki hiyo basi China ndio angekuwa Bingwa wa historia wa kombe la Dunia"Tanzania tangu tupate uhuru tulikuwa milioni 10 leo tuko milioni 55 ni aibu kubwa sana kwa watu milioni 55 mnashindwa kupata wachezaji11 wanaoweza kuwaletea kombe hata la Afrika".Rais Magufuli-Oktoba 19,2018
Kwa mantiki hiyo basi China ndio angekuwa Bingwa wa historia wa kombe la Dunia