DAR: Rais Dkt. Magufuli kukutana na wachezaji wa timu ya Tanzania 'Taifa Stars' Ikulu

DAR: Rais Dkt. Magufuli kukutana na wachezaji wa timu ya Tanzania 'Taifa Stars' Ikulu

Afadhali wasingeenda. Naangalia hapa nachoona kama anawavunja moyo tu maana anawapa makavu laivu ambayo hakupaswa kuyasema sasa.
Alafu mpira haujui, anadai bado tumefungwa sababu cape verde walitufunga tatu bila sisi tukawafunga 2. Eti bado tunadaiwa goli moja.
Nashauri aachane na mpira sio kutafuta kiki.
Mwache tu awape makavu live. Sasa ulitaka awabembeleze wakati huku anawapa msosi wa bure?
 
Daah, ahsante Mh Rais kwa maneno hayo.! Sidhani kama yana tofauti sana na yale wanayopewa askari wanapoenda vitani...!
Team work.! Fighting spirit, ! ..
 
"Tanzania tangu tupate uhuru tulikuwa milioni 10 leo tuko milioni 55 ni aibu kubwa sana kwa watu milioni 55 mnashindwa kupata wachezaji11 wanaoweza kuwaletea kombe hata la Afrika".Rais Magufuli-Oktoba 19,2018
 
"Niwaombe nyinyi wachezaji mpo wa Simba,Yanga,Azam mnapoenda kule nendeni kama wachezaji na timu yenu muiite Tanzania,msiwe na mawazo hata ukitaka kumpasia lazima umpasie mtu wako wa Yanga au Simba".Rais Magufuli-Oktoba 19,2018
 
"Watanzania wengi wamekata tamaa kushabikia timu za ndani, ndio maana mtakuta watanzania wengi wanataja majina ya wachezaji wa nje, utakuta wanazungumzia juu ya wachezaji wa Arsenal, Manchester na kadhalika".Rais Magufuli-Oktoba 19,2018
 
Rais Dkt. John Magufuli leo Oktoba 19, 2018 atakutana na wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na baadaye kula nao chakula cha mchana Ikulu jijini Dar es salaam.

Tuwe pamoja kwa yatakayojiri hapo baadaye.View attachment 902931
Screenshot_20181019-123400.png
Screenshot_20181019-123431.png
Screenshot_20181019-123416.png
Screenshot_20181019-123400.png
 
Afadhari huenda atagusia na suala la kubadiri jina la Timu yetu ya Taifa ama kuipa "Nick name" mpya. Tumechoka kuonekana watu wa kuvutia kwa kila timu ya taifa kuja kutuangalia "stars"
Kila anayetaka kuona nyota basi anakuja Tanzania. "
Ama yale yale ya "Unguja Njema atakaye na aje.."

Tunataka Nickname itakayo watisha na kuwaogopesha wapinzani wetu, wakisikia jina letu watetemeke waingiwe hofu na mashaka juu yetu.

"Tubadirishieni wimbo huu tafadhariii "....!!
hembu tupe maoni yako ungependa iitweje
 
Wangefungwa ikulu wangeisikia central [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
"Tanzania tangu tupate uhuru tulikuwa milioni 10 leo tuko milioni 55 ni aibu kubwa sana kwa watu milioni 55 mnashindwa kupata wachezaji11 wanaoweza kuwaletea kombe hata la Afrika".Rais Magufuli-Oktoba 19,2018
Kwa mantiki hiyo basi China ndio angekuwa Bingwa wa historia wa kombe la Dunia
 
Kwa mikosi yake na chichiemu, safari ya Cameroon imeishia Magogoni na imeisha rasmi leo
 
Back
Top Bottom