Dar: RC Makalla akerwa na ukamataji na faini za ‘wrong parking’

Dar: RC Makalla akerwa na ukamataji na faini za ‘wrong parking’

Cha muhimu ni watu wafuate sheria. Kama mtu anapaki sehemu isiyoruhusiwa inatakiwa ..... elimu peke yake haiwezi kusaidia epecially kwa sisi wabongo. Labda tatizo ni jinsi gani sheria au adhabu inasimamiwa.
Usikimbilie tu kusema mtu anapaki sehemu isiyoruhusiwa.....sehemu open space hakuna kibao kinanionyesha no parking na sihatarishi usalama wa watumiaji wengine wa barabara nikisimama hapo hat kuongea na simu tu wanakuja wananiambia nimepaki vibaya hata ingekua wewe ungekubali?

Usiongee kwa mihemko kwa sababu labda halijakukuta wewe
 
Mi naona hii sheria ya wrong parking iangaliwe upya. Mi niliwahi kukamatwa Ilala Boma pale nikawauliza jamaa "ni wapi pameandikwa no parking? Mbona sioni kibao chochote kinachokataza kupaki hapa?"
Jamaa wakaanza kujing'atang'ata lakini kwa uzoefu wangu ni bora ukamatwe na trafiki mtaelewana ila sio hawa jamaa aseee hawa jamaa sio binadamu ni WANYAMA!
 
Mi naona hii sheria ya wrong parking iangaliwe upya. Mi niliwahi kukamatwa Ilala Boma pale nikawauliza jamaa "ni wapi pameandikwa no parking? Mbona sioni kibao chochote kinachokataza kupaki hapa?"
Jamaa wakaanza kujing'atang'ata lakini kwa uzoefu wangu ni bora ukamatwe na trafiki mtaelewana ila sio hawa jamaa aseee hawa jamaa sio binadamu ni WANYAMA!
Ni mfumo mbovu na fine ni kubwa balaa
 
Back
Top Bottom