Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Wewe nawe huwa unaleta mada za jela na kutetea watu kupekuliwa matako unashindwa kuelewa suala la wazi kama hili? Pale ishu siyo ATM kutoa pesa au kutotoa pesa, suala ni usalama wa pesa na maisha ya askari wanaosimamia hilo zoezi hilo, hapo ni UBABE, nasema tena ni ubabe unatakiwa kutumika pale, sio ombi wala kubembelezwa, ni amri, hivi mkuu kweli hujui kabisa kwamba amri ni ubabe?Kosa kubwa la Polisi hapo ni lugha ya kibabe kwa mwanajeshi.Na hata huvyo asingeweza kutoa pesa katika ATM kwasababu ATM huwa aifanyikazi wanapokuwa wanaweka pesa.
Lugha ya kibabe ndo imewaponza Polisi.
Polisi hawataki kuwatii wanajeshi kuna sehemu unakuta hata Polisi hataki kumpigia Mwanajeshi Afisa salute mpaka akoromewe na Mwanajeshi.Tatizo hapo ni military law zinazowataja polisi kuwa ni raia.
Jeshini kuna polisi wake. Hawa polisi, jeshi huwaita civ police yaani raia.
Askari yeyote kuitwa raia ni tusi, ingawa siandiki kwa kirefu kufafanua tatizo lililotengenezwa na sheria hiyo.
Haya FFU nimekusikiaHaya mambo ya kuleta ujuaji mwisho unaishia pabaya...huyo mjeda anajifanya mwamba usikute hapo atm alikuwa anatoa buku 10 tu
Hicho nilichoandika, kwani hujui kusoma?Hv umeandikA nn
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti form 4 failureAcha wafu wazikane. Ndiyo tatizo la kuwapa silaha form 4 failure.
Ngoja nijisogeze nikazike.
Jambazi hawezi kuiba pesa toka sehemu ya kutolea pesa kwenye ATM hata kama kule ndani wakiwa wanaweka.Hata kama angeingia kwenye ATM nothing could happen.Wewe nawe huwa unaleta mada za jela na kutetea watu kupekuliwa matako unashindwa kuelewa suala la wazi kama hili? Pale ishu siyo ATM kutoa pesa au kutotoa pesa, suala ni usalama wa pesa na maisha ya askari wanaosimamia hilo zoezi hilo, hapo ni UBABE, nasema tena ni ubabe unatakiwa kutumika pale, sio ombi wala kubembelezwa, ni amri, hivi mkuu kweli hujui kabisa kwamba amri ni ubabe?
Tupaze sauti sababu ya mjeda asiyetaka kutii amri halali na kufuata maadili ya kazi yake?Sisi wengine tunajifanya hatuhusiki kumbe unafiki mtupi wote kwa umoja wetu tupaze sauti kukataa yasiyo ridhisha bila kujali anatendewa nani na wala nisijidanganye bure maana wote tunahusika
Polisi jeshi (MP)ni msimamizi wa sheria za kijeshi tu.Tatizo hapo ni military law zinazowataja polisi kuwa ni raia.
Jeshini kuna polisi wake. Hawa polisi, jeshi huwaita civ police yaani raia.
Askari yeyote kuitwa raia ni tusi, ingawa siandiki kwa kirefu kufafanua tatizo lililotengenezwa na sheria hiyo.
Haya mambo ya kuleta ujuaji mwisho unaishia pabaya...huyo mjeda anajifanya mwamba usikute hapo atm alikuwa anatoa buku 10 tu
Jeshi halina utaratibu wa kulinda watu wajinga.Hilo la mjinga na mwenye akili tuliache kwanza, ila alichofanya askari wa JWTZ ni aibu kwa jeshi, anatakiwa achukuliwe hatua, ila kulindana pia bado kupo, inaweza ikapotezewa kimya kimya au jeshi likamkana kuwa siyo mtu wetu, na kumficha mahali..
Hawez kwepa kifungo,Huyo Mwanajeshi afungwe asiachiwe kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hawa jamaa siwezi kusikitika kabisa na tena kama ingewezekana wangelipuana kikosi kwa kikosi
HahahaaaaaAskari polisi hawa wawe hata 50 hawana uwezo kupambana na mwanajeshi mmoja
Amina.Jeshi halina utaratibu wa kulinda watu wajinga.
Mpaka sasa huyo ni mali ya polisi.
Hekima na busara inahitajika pande zote mbili,huyo mwanajeshi anaweza poteza kazi kwa uzembe wake mwenyewe kwa kushindwa kucontrol hasira zake,Kosa kubwa la Polisi hapo ni lugha ya kibabe kwa mwanajeshi.Na hata hivyo asingeweza kutoa pesa katika ATM kwasababu ATM huwa aifanyikazi wanapokuwa wanaweka pesa.
Lugha ya kibabe ndo imewaponza Polisi.
Mimi siyo polisi na siwezi kuwa polisi, kuopen fire ovyo ovyo kivipi, askari anaona mwenzie anataka kupokonywa silaha afanyeje?, aangalie tu?
Halafu wakafanya hivi..kulikuwa na askari wa JWTZ aliyekuwa akitaka kutoa pesa kwenye mashine
Mwanajeshi akafanya hivi..Kulwa alimfuata jamaa huyo akiwa na bunduki mkononi huku akimuelekezea
mwanajeshi huyo aliikamata na kuelekezea mtutu juu, jambo lililoonekana kuwa alikuwa na utaalam wa masuala ya silaha.
Sio rahisi namna hiyo.....Hawez kwepa kifungo,