Bora wauane tu waishe wote. Tubaki ss raia.Mimi siyo polisi na siwezi kuwa polisi, kuopen fire ovyo ovyo kivipi, askari anaona mwenzie anataka kupokonywa silaha afanyeje?, aangalie tu?
Kikubwa utupe mrejesho wa kesi yake !!Sio rahisi namna hiyo.....
Ni kweli, kuhusu yule kijana wa kurasini, inasikitisha sana, je huyu anayejibu kwa jeuri kuwa MSINIAMRISHE, na yeye utasema hakuweza kusikia?Jambazi hawezi kuiba pesa toka sehemu ya kutolea pesa kwenye ATM hata kama kule ndani wakiwa wanaweka.Hata kama angeingia kwenye ATM nothing could happen.
Nakumbuka hata yule kijana wa kiislam aliyeuwawa kule Kurasini ilikuwa hivyo hivyo yule kijana alikuwa na tatizo la kusikia kwahiyo hata alipokuwa anaambiwa na Polisi kuwa usiende huko hakuweza kusikia na hatimaye alipigwa risasi bila hata kuonyesha dalili ya kufanya uhalifu wowote.Weledi wa Polisi katika baadhi ya matukio bado unakuwa si mzuri sana
Kweli mkuu, kwa uzoefu wangu nijuavyo mimi wanajeshi wengi wanapenda ubabe yani wao ndio wao kwahiyo walikutana jeuri na kiburi matokeo yake polisi wakauwana, ila polisi alikuwa kazini..Ni kweli, kuhusu yule kijana wa kurasini, inasikitisha sana, je huyu anayejibu kwa jeuri kuwa MSINIAMRISHE, na yeye utasema hakuweza kusikia?
Sasa nikuulize wewe kwa faida yako na wanajamii wengine.Mkuu unaonyesha una watetea sana hawa watu
Alivaa kiraiaTupaze sauti sababu ya mjeda asiyetaka kutii amri halali na kufuata maadili ya kazi yake?
Hata kama alivaa sare za jeshi bado tahadhari ilihitajika. Kuna wahalifu kibao wametumia sare za majeshi.
Pole kwa wafiwa na huyo mjeda lazima awajibike.
nakumbuka nilisahawahi kusema jambo nisilokuwa na uhakika ka wewe ila nilijifunza baadae ka hujui kitu bora usisema maana kusema kupo, keep it in your mindKarma is a bit....ch
Jeshi la polisi lilifaa liundwe na wasome yaani wenye elimu ngazi ya degree na masters wenye G.P.A 2.5 kwasbb polisi ni msimamizi na muangalizi wa sheria.
Waliofeli form 4 walipaswa kwenda jeshi, na magereza. Km jeshi la polisi linageuzwa tawi la chama fulani. Unategemea nini kitatokea?
Jiulize km hapo. Mtu hana bunduki lkn unamtishia bunduki halafu cha kushangaza mwenzake analenga tu cha kushangaza hana hata shabaha.
Hapo kulikuwa hakuna haja ya kutumia silaha. Ni mazungumzo tu sbb wote wapo kwenye sekta moja lkn vitengo tofauti.
Kazi kweli kweli
lower second? lower second? wapo wato wana docnakumbuka nilisahawahi kusema jambo nisilokuwa na uhakika ka wewe ila nilijifunza baadae ka hujui kitu bora usisema maana kusema kupo, keep it in your mind
kweli wabongo wazito kufikiria ulishawahi kukuta ATM inawekewa hela nawe ukatoa? vitu vingine nasie huwa twajitakia wenyewe ka mtua aliambiwa asubirie ye akalazimisha tena akashika silaha we unafikiria ka ndo wee ungefanyaje?TUNASHUKURU KAMA HUYO Mwanajeshi yuko salama
Polisi, alishndwaje kuvumilia jamaa atoe hela kwa sababu ni kitendo cha dakika moja tu
Halafu sheria ya bunduki, usikwoneshe mtu ambaye huna nia ya kumpiga risasi
f you dont use it your will lose itHaya matumizi holela ya silaha yanaligharimu sana hili taifa.
Jangwani panapitikaKosa kubwa la Polisi hapo ni lugha ya kibabe kwa mwanajeshi.Na hata hivyo asingeweza kutoa pesa katika ATM kwasababu ATM huwa aifanyikazi wanapokuwa wanaweka pesa.
Lugha ya kibabe ndo imewaponza Polisi.
mkuu nimeamini uko vizuri katika mtizamo maana kwaharaka haraka mie najua yule mwanajeshi hakuvaa uniform coz najua picha nzima ila watz kwakushadadia wakwanza hata ka jambo hawalijui pili wakati wa kuweka ni amri moja hakuna mtu kwenda kutoa so mbona wengine walitiii? kwani angetii angepata hasara gani? tatizo ni kupenda kujikwaza kusiko kuwa na tija kapata ulemavu pia ajira yake ipo rehaniNimesikitishwa sana na michango ya watu wengi kuhusu hili suala, hata baadhi ya watu ninaowaheshimu kabisa hapa jamvini.. Wengi wanampendelea mwanajeshi na kumponda polisi, labda ni kwa sababu ya kuwachukia tu polisi, uhalisia unawekwa pembeni, ni hivi wakuu, wakati huo wa kuweka pesa, hakuna mtu anaruhusiwa kuwepo eneo hilo, hata kama ni mwanajeshi, kwani mwanajeshi sio binadamu? Hawezi kupora pesa na kutokomea nazo? Wakati wa tukio hilo amri ni moja tu, anaekaidi anatakiwa kuchukuliwa hatua mapema, maana anaweza akawa jambazi, majambazi wengi wamefanya uharifu wakiwa na uniform...
Hata hivyo, ninakubali hoja moja, polisi hawana weledi mzuri, hakutakiwa kumsogolea katika kiasi cha yeye kuishika silaha, alitakiwa amtandike risasi akiwa mbali... Huyo mwanajeshi anatakiwa afukuzwe kazi na apelekwe mahamani.
Kama alivaa kiraia ndio kakosea sana.Alivaa kiraia
lower second? lower second? wapo wato wana doc
kweli wabongo wazito kufikiria ulishawahi kukuta ATM inawekewa hela nawe ukatoa? vitu vingine nasie huwa twajitakia wenyewe ka mtua aliambiwa asubirie ye akalazimisha tena akashika silaha we unafikiria ka ndo wee ungefanyaje?
what if mwanajeshi aliona kulikuwa na hatari zaidi za yeye kupigwa risasi? Mwandishi anasema, lile gari la pesa lilipofika, wale jamaa walimwamrisha aondoka mara moja ndiyo mwanajeshi akawaambia wamwambie kistaarabu ndiyo shida ilipoanzia ambapo yule marehemu akaikoki. Kuna haja ya kufanya uchunguzi wa kina zaidi.duuu, hapo ndo ujue kuwa weled ktk jeshi letu la polisi hamna kabisa, pia ata mwanajeshi hakuwa na hekima hata kidogo na anatakiwa kuadhibiwa vikali, haiwezekan umeshapewa tahadhali ya kutoka eneo hilo na unaona kabisa kitu kinachoendelea kwa mjibu wa sheria na kiusalama, halafu ww unadinda eti kisa ww ni mwanajeshi yaan alishindwa kutambua kwamba hapo kuna tukio linalohitaji usalama zaid, na alikosea zaid alipoishika silaha ya afande kama ni kweli, hapa polisi walitakiwa wamkamate kwa nguvu then wampe kichapo cha mbwamwitu ili ajue kuwa kaingia cha kike, askali aliyerusha risasi hakutumia weled wa kazi.