Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Kama kiongozi wao mambojana hajui risasi inavyoweza kutoka na kumjeruhi MTU hawa vijana watawezaje kujua matumizi ya BINDUKI

FUMUA jeshi LA polisi lote kuanza upya sio ujinga
 
Polisi wameonyesha udhaifu mkubwa ni haki waendelee kudharauliwa na wanajeshi; kwanza mjeshi yuko mmoja na hana silaha, Polisi wako zaidi ya mmoja na wanasilaha still wameishia kuuana wenyewe[emoji16]. Hivi unawezaje kumnyooshea bunduki kwa ukaribu ukiwa na mtu well trained kama mjeshi? Hata movie za kina Rambo zimeshindwa kumsaidia huyu marehemu polisi?[emoji13][emoji13][emoji13]
 
MKUU WALIMKUTA MWANAJESHI KAZAMA ATM ANATOA HELA

HIVYO SYO KWAMBA YY NDO KAWAKUTA WANAWEKA HELA

WW NDO HUJAELEWA.
alikuta watu wanaweka then akalazimisha kuingie ndani ili atoe, hata ka wangemkuta anatoa nadhani ilikuwa ni kitendo cha 2min angekuwa kamaliza coz ATM zetu zina kima cha mwisho ambacho nil 1mil per day
 


Ni kujibu hivi............ askari hawakutumia busara kumwambia ondoka hili eneo kwa sasa hivi tunaweka hela kwa ubinadamu unasogea wao wanamwelekezea mtutu wa bunduki wanamwambia sogea sogea kwani yeye ni mhalifu?
 
Raia wakakamavu bwana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
nakumbuka nilisahawahi kusema jambo nisilokuwa na uhakika ka wewe ila nilijifunza baadae ka hujui kitu bora usisema maana kusema kupo, keep it in your mind
Utakuwa form 4 failure siyo bure tena wa division 5.
Ulivyocomment tu nikajua elimu yako ni ya kuunga unga km ulifika form 6 basi uli-reset paper ya form 4.
Pole sana. Utampaje mtu aliyefeli darasani bunduki? Ndiyo matokeo yake hayo
pole sana. Mtauana sana kwa ujinga wenu
 
Ni kweli, kuhusu yule kijana wa kurasini, inasikitisha sana, je huyu anayejibu kwa jeuri kuwa MSINIAMRISHE, na yeye utasema hakuweza kusikia?
Ulikuwa eneo la tukio..??

Mbona habari inasema hivi..

aliona kama amedharauliwa na askari hao hivyo aliwataka wamwambie kistaarabu na siyo kumwamrisha.

Naona ile tabia yenu ya hovyo ya ku-twist mambo na kubambikizia unaitumia bila woga....inaelekea hili ni somo rasmi kabisa mnalofundishwa huko CCP
 
inaitwa mbwa kala mbwa ... acha wamalizane hawa wauaji, watesi na watekaji
 
Huyu mwanajeshi ndiye chanzo cha yote hana nidhamu kabisa na hatumii ajili,anastahili adhabu

uyo boya askari polisi katukana mjeda na kutoa bastola unawezaje kumwacha bila kipigo , askari polisi mengi majinga kabisa
 
nilisoma sent kayumba. lakwanza mpaka chuo, nika piga master ya kata , doct ya wilaya, mitizamo hasi wala sikuwahi kuipa nafasi katika maisha yangu, mi siandiki nisilolijua au nisilokuwa na hakika nalo
 
hawa maskari wa kushusha hela wanajifanyaga wababe sn nakumbuka cku npo makumbusho walikuwa wanashusha hela mbele yng kulikuwa na mdada akapita nami nikapita njia iyo iyo nashangaa jamaa akaja nipiga na kitako cha bunduki tumboni aiseee mara wanze nitukana kwakuwa waliku washanilengea mitutu yao nikawa mpole tu
 
Nashangaa wanaowatetea sana hawa wanajeshi, nao ni waonevu tu kwa raia sawa tu na hao polisi, wanajeshi hawachelewi kupiga raia kwenye mtaa flani kisa tu mwenzao kaporwa demu...@cc@Chakaza.
Kweli mkuu ...
Nimeshuhudia tena wengi wao wanaona kuwa jeshi ndo kuwa juu ya sheria......
Akimtaka mkeo ni lazima ampate...na majigambo Yao kwamba huna pa kumshtaki...
Ndo maana huku kuna mmoja wali cut bichwa.. ..
Ni wana sifa za kijinga kwel kwel..ingawa si wote!
 
Umemaliza mkuu...
Wabishi na wabishe tu...kwa vile wana yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…