McMahoon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,353
- 1,639
Naona imekuchoma sana huenda ww ni polisi.nilisoma sent kayumba. lakwanza mpaka chuo, nika piga master ya kata , doct ya wilaya, mitizamo hasi wala sikuwahi kuipa nafasi katika maisha yangu, mi siandiki nisilolijua au nisilokuwa na hakika nalo
Acha wafe tu sbb wamejaa makasi kwenye vichwa vyao. Hapo kulikuwa hakuna haja ya kutumia bunduki. Ujinga unaowasumbua nyinyi mnafikiri ukivaa hayo manguo hamuwezi kufa na unahisi dunia yote yako. Damu ya Akwilima bado inawalilia.
Pambafu sana. Ukitaka kuona walivyo na makasi kwenye vichwa vyao sikiliza majibu yao.