Mkuu kwa mara ya kwanza leo naomba kutofautiana na wewe!!
Mwanajeshi hayuko juu ya sheria... Wakati wa kuweka hizo pesa hatakiwi kuwepo mtu pale. Kazi hiyo ni ya hatari hivyo inatakiwa kufanyika kwa haraka, inaweza kuwa kuna majambazi yanafanya timing tu msimame pale yalenge shabaha na kuondoka na fedha, hivyo hawawezi kumsubiria mtu mpaka amalize kazi zake ndipo waweke. Huyo mwanajeshi alitakiwa kucancel transaction na kuondoka pale haraka na sio kutaka abembelezwe kama alivyodai... Pale kuondoka ni amri sio ombi.
By the way mkuu, wengi humu mnatetea mwanajeshi kwa kudhani kuwa ndio friendly na raia, si kweli... Kwa nchi ya Tanzania polisi na wanajeshi ni walewale tu, ukitaka kuamini, watu waandamane tarehe 26, polisi wazidiwe uone kama wanajeshi hawajaingia barabarani kupiga r