Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

hehehe kuna magari mapya 570 ya maji washa ambayo tangu yanunuliwe 2015 hayajawahi tumika.. licha yahvo kuna mabomu ya moshi pakage zisizo na idadi... bado virungu na risasi za mpira .. tukutane taree 27 baada ya maandamano..
Hayo magari yangetumika kwenye kilimo cha umwagiliaji tungekuwa mbali sana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Tatizo mipolis inatumia nguvu bila hekima kwani kulikua na ulazima gani wa kupiga risasi kwanini hakupiga juu kama taadhali mbona hatuambiwi kama alifanya hivyo kwa mujibu wa sheria ya jeshi la polis? Kumbuka wanajeshi uwazarau sana polis kwahiyo polis wanapaswa kuwa makini sana.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kk mkubwa kumbe we mjeshi
Vipi ile nafasi ya polisi ulioniomba kwaajili ya mdogo wako bado waitaka! Bi mdashi kanitel zinakaribia kutoka.
Ndugu kuna kijana wa shangazi yangu kapigwa kilo 7 na njagu imeniuma sana nilivyoambiwa na mdogo wangu wa tumbo moja nilimuingiza huko miaka fulani ila ndiyo alitunguliwa benki fulani R.I.P
Ila punguza comments zako unatutukana mno
 
Mambosasa "Huyo alitumwa na wapinzani kuichafua serikali ili ionekane ina nyanyasa wananchi wake"p
 
Si jambo rahisi mwanajeshi kuanzisha ugomvi bila shaka kuna tatizo apa
 
Hilo la kutukaniwa mama yako siyo sahihi, ila wakiwa na sare na bunduki ni kweli hutakiwi 'kuwaambia kitu', na wala hutakiwi kuwasogelea.. Ukikaidi amri katika maeneo ya hatari kama wakati wa kusindikiza pesa au kuweka pesa anashauriwa akutandike shaba, kwa ajili ya usalama wa maisha yake.. Kulwa alichelewa kumtandika shaba huyo mwanajeshi, matokeo yake kapoteza maisha yeye!
Hakuna popote askari anashauriwa kupiga mtu risasi pasipo sign warning ya kupiga risasi hewani iwapo hakuna mapambano ya silaha za moto na huyo target wake.
Pili, askari anapochukua fedha cash-center sijawahi kuona kwamba ratiba za wateja zimekuwa interfered kwa kufukuza wateja waondoke benki eti tu kwa kuwa afisa wa polisi amekuja kuchukua fedha kwa ajili ya escort.
Tatu, nafikiri kama sheria iko hivyo ya usafirishaji wa fedha basi naamini kuwa itakuwa na mapungufu katika kipindi cha zama hizi, nimekuwepo benki previously (as a worker) for a certain time, sijawahi kusikia kwenye physical security management ya bank premises mteja anatakiwa afukuzwe pale afisa wa polisi anapofikisha pesa kutoka cash-center.
Nne, naamini huyo aliyeshukiwa kuwa mwizi alikuwa kwenye ATM na si katika mlango wa kuingilia kwenda chumba cha mitambo ya ATM, je askari hilo lilimwathiri vipi wakati utaratibu ni kwamba afisa wa benki alitakiwa kuwajulisha wateja kwamba ATM zingesitisha huduma kwa muda ili kuweka mambo sawa.
Tukubaliane kwamba askari wetu huwa wana mzuka sana sometimes wakiwa wanasindikiza fedha. Unaanzaje kufukuza mteja kwenye biashara isiyokuhusu...???
 
We ni polisi...??? Mbona ume-panic

Polis wetu ni watu wa hovyo kabisa....Hivi huko CCP huwa mnafundishwa nini hasa.. ??
Hakuna polisi hapa ila nawafundisha achen kudharau kaz watu
Wakati mnalala na wake zenu wanaume wako kazini wanapiga kazi mnapata muda wa kula bia sababu wanaume wako kazini
 
Hahahahahahaha......

Polisi bana......ndio maana ni chombo kinachodharauliwa sana....

Hovyo kabisa
Ukiwadharau alafu ukiibiwa unakwenda hapo hapo kuomba msaaada wewe ndio hovyo wa kwanza

Ndio maana trump alisha waambia watu kama nyinyi ni shithole
 
Ukiwadharau alafu ukiibiwa unakwenda hapo hapo kuomba msaaada wewe ndio hovyo wa kwanza

Ndio maana trump alisha waambia watu kama nyinyi ni shithole
Anaenda Polisi kuomba msaada? Kwani Polisi wanatoa msaada au wanatimiza wajibu wa kazi zao? Huyo si ndio anawalipa mshahara kwa kodi zake?
 
Huo ni ukweli kabisa, umeelezea vizuri sana.
Askari mwenye mafunzo dhabiti hashindwi kumtambua askari mwenzie kwenye hali kama hiyo.
Polisi wamekosa elimu ya saikolojia hapo.

Walipaswa watumie akili zaidi kuliko nguvu. Huyo jamaa alikuwa peke yake na hana silaha yoyote iweje harakaharaka tu wahisi kuwa ni jambazi?
Alivyowambia watumie ustaarabu, polisi walitakiwa watambue huyo ni askari mwenzao.
Usimwamin mtu yeyote ukiwa na silaha ya moto
 
Anaenda Polisi kuomba msaada? Kwani Polisi wanatoa msaada au wanatimiza wajibu wa kazi zao? Huyo si ndio anawalipa mshahara kwa kodi zake?
Ndio upumbavu mtu anaekupa huduma na kufanikiwa mambo yako ukamdharau
 
Hapo kwenye mawazo yako nadhani haupo sahihi,,,hata ukiwa na mafunzo vipi kuna kitu kinaitwa bahati mbaya,unadhani hakua na shabaha
 
Hakuna polisi hapa ila nawafundisha achen kudharau kaz watu
Wakati mnalala na wake zenu wanaume wako kazini wanapiga kazi mnapata muda wa kula bia sababu wanaume wako kazini
Acha dharau wewe...
Mwanaume na fomu yako unataka tukupe privilege ya kile usichostahili.
 
Back
Top Bottom