Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Daaaah pole sana mwanajeshi na sijui kwanini hakumnyanganya kabisa ile bunduki na kulenga yule pimbi aliyekuwa amebaki kwenye gari nawachukia sana hawa mbwa wa kaki ***** zao narudia tena pole sana mwanajeshi Mungu akufanyie wepesi upone haraka
Wewe mwenyewe ni mbwa tu huna lolote
 
Hii inaonyesha askari Polisi hawana mafunzo ya kutosha ya matumizi ya silaha. Ndio maana ni vituko tuu kama tulivyoona kwa Malima, kule Morogoro au hata kwa Akwilina
Watakuchakaza hiyo ilikua bahati mbaya tu. Ingekua hivyo usemavyo si ingekua wote wameisha?Jaribu kutumia akili kidogo hata km unawachukia
 

Mkuu kazi ya polisi si kuua bali ni kulinda usalama wa raia na mali zao tofauti na mwanajeshi anafunzwa mbinu zote za kuua.
 
Hawa polisi wetu wawe wanapelekwa porini uko angalau mara 1 kwa mwezi wakafyatue risasi mpaka wachoke maana naona wengi wao wamechoka kuzibeba kila siku wako doria na lindo na hawajawahi kuzitumia ndio matokeo yake haya jambo ambalo wangeweza kuliongea wameishia kuuana kibwege tu nimeshuhudia mara nyingi polisi wakitumia silaha sehemu ambayo wangeweza kupata maridhiano kwa njia ya kawaida.
 
Akbadiri ALLAH AKBAR
 
Wakivaa sare akili wana acha nyumbani nilikua Na jamaa yangu pale mnazi mmoja kunadimbwi la maji tuko robo tatu kulivuka askari anataka turudi nyuma apite na gari inamzigo mzito alishuka afande kijana nakumzaba jamaa yangu kibao alikula ngumi wanzie wakachuka kumsadia kala roba matata jamaa ilibidi watumie pingu kumpiga jamaa yangu kichwani raia wakajaa wakiwa upande wetu baada ya kutoa maelezo.askari wakapata hofu tukaendanao msimbazi walitoa elf20 kwa ajili ya matibabu. Nampa heko mjenda hivi sasa tungekua tunaimba parapanda ametumia ujuzi wake aliojifunza vyema. Angeacha mke na watoto
 
Laan inawatafuna na mtamakizana wenyew Mungu si bashite
 
TPF iwekweli Tanzania Police Force sio CCM force. Operation regurations ziendane na matakwa ya Watanzania.
Sheria za kikoloni ziondolewe.
Matumizi ya silaha na wakati gani yazingatiwe!!
 
Hapana, aliambiwa atoweke, yeye akadinda na kudai aambiwe "kistaarabu", Ndipo wakamuelekezea mtutu...
Wangemwambia kwa lugha nzuri ingetokea nini hapo?
Polisi wasitumie silaha hovyo, wapelekwe misitu ya DRC waone moto wa risasi!!
 

Mkuu kazi ya polisi si kuua bali ni kulinda usalama wa raia na mali zao tofauti na mwanajeshi anafunzwa mbinu zote za kuua.
Lakini siku hizi kazi ya Polisi ni pamoja na kuua
 
Tuangalie mbali kiusalama askari anaweza kusema walidhani mjesh aliku ktk taiming ya kupora Pesa je
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…