Duuuh,,,,,,,sawa kumbe kama ni hivyo basi mambo sio mabaya huko kwenu TPDFDah nchi hii POLISI hata wakienda kikosi kizima kupambana askari wa JWTZ tena PRIVATE asiye na silaha wanaweza kufa WOTE
Huu ni kweli mchungu,msiamini mtakacho tangaziwa kuwa kapewa adhabu kali.Ni uongo mkuu hata kama kesi itafika kisutu!
Itakuwa sheria za mungu wa majeshiMh! Sheria za wapi mnatumia?
Mimi najua alipoUnajua alipo huyu Komando Erasto Josiah Toga: KOMANDO WA JWTZ AUA KISA MAPENZI
Andika ile yako ya ujuzi tusome na we we ungelikuwa kwenye tukio ungefia pale kama inzi kwenye kinyesi.We ndio mbumbumbu kabisa umeandika upuuzi mtupu
Hilo jamaa kwenye avatar yako ndio lile lilikuwa linatumiwa na Michael Corleone kwenye ishu zake za kutoa watu roho ?
Bora umeishia hapo usije ukanyonga mtu bure
Dah nchi hii POLISI hata wakienda kikosi kizima kupambana askari wa JWTZ tena PRIVATE asiye na silaha wanaweza kufa WOTE.
Na wanabahati mwenzetu hajafa maana tungewafuata palepale FFU-Ukonga tukitumia askari wa AIRWING 603KJ Au Gongo la mboto 511KJ
Na niwaambie ukweli mchungu wanaJF msioelewa haya mambo ya kijeshi kuwa mjeshi anatibiwa na akipona anarudi kuendelea na kazi kama kawaida na pongezi atapewa za kutosha na muda sio mrefu atapanda na cheo.
Huu ni kweli mchungu,msiamini mtakacho tangaziwa kuwa kapewa adhabu kali.Ni uongo mkuu hata kama kesi itafika kisutu!
Nimecheka sana kwa nini hamuwapendi Polisi???????Daaaah pole sana mwanajeshi na sijui kwanini hakumnyanganya kabisa ile bunduki na kulenga yule pimbi aliyekuwa amebaki kwenye gari nawachukia sana hawa mbwa wa kaki ***** zao narudia tena pole sana mwanajeshi Mungu akufanyie wepesi upone haraka
Kuna lugha ya kumwambia mkubwa wako syo kumwamlisha, utajusikiaje we kuamlishwa Na mwanafunzi wako???duuu, hapo ndo ujue kuwa weled ktk jeshi letu la polisi hamna kabisa, pia ata mwanajeshi hakuwa na hekima hata kidogo na anatakiwa kuadhibiwa vikali, haiwezekan umeshapewa tahadhali ya kutoka eneo hilo na unaona kabisa kitu kinachoendelea kwa mjibu wa sheria na kiusalama, halafu ww unadinda eti kisa ww ni mwanajeshi yaan alishindwa kutambua kwamba hapo kuna tukio linalohitaji usalama zaid, na alikosea zaid alipoishika silaha ya afande kama ni kweli, hapa polisi walitakiwa wamkamate kwa nguvu then wampe kichapo cha mbwamwitu ili ajue kuwa kaingia cha kike, askali aliyerusha risasi hakutumia weled wa kazi.
Mbona ya jeshi miezi mi4Kozi gani ya miezi 6 tu?
Hiyo ni Kozi au Semina?
Polisi ni wa Tz ni janga....
Hongera Mjeda (JWTZ)....
Jumlisha na level 3 jumla miezi 7 au level 3 sio kozi jombaa??Mbona ya jeshi miezi mi4
Na ile minne ya JKT? Then usijaribu kuneutralize mambo, wanajeshi mara kwa mara wanakwenda kozi mbali mbali tena kwa level mbali mbali, na kozi nyingine muda unatofautiana.Mbona ya jeshi miezi mi4
Kuna vyeo vile vya bure huwa wanapewa kwa kumfanyia ubaya mjeda Mimi nilishakakosa katrafic hapo tazaraSipendelei amani hapa nchini kuvunjwa kwa hawa askari wa vikosi viwili ambavyo ki mwanajeshi basi huwa anazidisha makusudi ili lengo lake likiwa ni kujichukulia ujiko na yeye aonekane yupo vizuri.
Polisi bila silaha hamna kitu, ndio maana kujihami kwao ni kufyatua risasi ovyo.
Kumbe ndio maana[emoji41] [emoji41] basi ngoja waendelee kufukuza moto sisi raia tuone watakavyokuwa wanapasuliwa, tuje kuchangia kwenye nyuzi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Kuna vyeo vile vya bure huwa wanapewa kwa kumfanyia ubaya mjeda Mimi nilishakakosa katrafic hapo tazara