Cha kusikitisha zaidi baada ya kupata hiyo kazi huwa kama wana msongo wa mawazo, maana wamesoma kwa kutarajia kitu kingine na walichokipata ni kingine, ndipo wanapokuwa na dharau, kiburi, maneno ya ovyo, tena sana sana wakiwaona watu wenye elimu ndogo kuliko wao wakilipwa mishahara kuliko wao.Okay mkuu
Bado huelewi.My point is hakuna haja ya kupoteza gharama na muda wa kusoma iyo masters wakati kazi unayoenda kufanya ni kulinda bank ama kusubiri maandamano upige watu mabomu...
Ndo mana wenyewe wanachukua watu waliotaga
Hawaja zinguliwa mkuu ila kilichopo jamaa walizinguana pia mdunguaji hajawa na range mzuri, pia huyo jamaa nimemshangaa sana kumsogelea huyo msoja kiasi cha kuwa na zero distance huyu jamaa ndio tunawaita mananga ambao kila jeshi wapo.Unazungumziaje hilo la polisi wawili wenye silaha kuzinguliwa na mjeshi mmoja asiye na silaha?
KBado huelewi.
Huwezi kujua kila kitu, unawezakujua mambo mengi sawa but huwezi kujua kila kitu.
Kule kwenye hivyo vyombo unavyosema wanachukua waliotaga kuna watu wa fani mbali mbali na elimu kubwa mpaka PhD unawakuta huko.
Elimu ndio huleta tofauti baina yao, lakini kazi ya kwanza ya Askari ni ulinzi, elimu ni nyongeza ya kukufanya ulipwe vizuri na ufanye kazi ya utaalam kuzido wenzako.
Sio kwamba ukiwa na Masters utapangwa kwenda ulinzi benki ukakataa, itabidi ukubali tu maana usipotii amri kijeshi unahesabika huna nidhamu.
Unajua majeshi yanaajiri wataalamu (wenye fani) wangapi kwa mwaka?
Wataalamu wa kule hawavai suti wala kuchomekea mashati ya kumeremeta ndio maana wewe unaona wote hawajasoma.
Nenda Jwtz uone watu walivyopiga shule
Nenda polisi uone watu walisoma
Nenda Magereza uone
Nenda uhamiaji
Nenda Fire.
Maisha ni tofauti na CV yako ya kukufanya uvae suti
Sikuhizi hata Polisi wanatoa JKTMKuu wewe jiulize tu,
Polisi= Miezi Sita Moshi unaingia mzigoni
Mjeshi= JKT Miezi 9, bado jeshini mafunzo tena.
Ina julikana kabisa jeshi ni senior, polisi ni junior sasa kwann kushindana, kaka akisema kalale hakuna kugoma nikutekeleza tu.Juzi tu mapinduzi ya Zimbabwe polisi waliambiwa wakalale nyumbani
Una wazungumziaje police wanao toka jkt maana wengi ni mananga wanacho jua wao ni kulima tu.. Nahisi ndio wanacho fundishwa, alfu mafunzo ya polisi ni miezi 9 mkuu sio 6 km zamani.MKuu wewe jiulize tu,
Polisi= Miezi Sita Moshi unaingia mzigoni
Mjeshi= JKT Miezi 9, bado jeshini mafunzo tena.
Kenya wakat iltaka kupinduliwa 1982 fuatia police waliambiwa watakua RAIA weme kuanzia muda huo wa matangazo na mtangazaji aliyekua anaitwa Leonard Mambo mbotela ndiye aliye amrishwa atangaze ...Mara nyingi kweny mapinduz ndivyo inavyotokea ...Nchi gan mkuu walowahi kufanya ivyo samahan lakini naomba unielimishe
Huyo police alifanya ufara sana kumsogolea mtu hivyoHawaja zinguliwa mkuu ila kilichopo jamaa walizinguana pia mdunguaji hajawa na range mzuri, pia huyo jamaa nimemshangaa sana kumsogelea huyo msoja kiasi cha kuwa na zero distance huyu jamaa ndio tunawaita mananga ambao kila jeshi wapo.
Tatizo la hao ni kwamba wamelelewa na TPDF muda mwingi na siunajua tena kule polisi wanavyoitwa sasa wakienda mafunzo ya upolisi wanakuwa na mapuuza sanaUna wazungumziaje police wanao toka jkt maana wengi ni mananga wanacho jua wao ni kulima tu.. Nahisi ndio wanacho fundishwa, alfu mafunzo ya polisi ni miezi 9 mkuu sio 6 km zamani.
Every one after events is Wise ..hatuwez jua izo zarau za polis zlikua kwa kiwango gan mm na ww!! Unajua kuna anaweza kukuonyesha zarau ukaamua liwalo na liwe hata kama litasababisha mbingu kuanguka na ianguke tuuPole sana Askari wetu.
Ila kwa mtazamo wangu mwanajeshi akifanya kosa ambalo lilipelekea madhara yote hayo.
ATM kukiwa na harakati za kuweka pesa utajua tu, na huna budi kua mpole na kusubiri mpaka utakapoona mambo yamekaa shwari.
Sasa Askari anapokupa amri uondoke hua hana maana anakudharau, kwenye hizo kazi lugha ya amri ndio hutumika hakuna kuomba (99% ni amri tu).
Mwanajeshi kosa kubwa alilotenda ni kugoma kuondoka na kubwa zaidi kushika silaha iliyobebwa na Askari anayetekeleza majukumu yake.
Nafahamu kuna polisi vilaza wengi sana hasa wanapokua wamevaa uniforms but hili lisingefika huko Kama mjeshi angeamua kupisha kistaarabu, nafahamu hakuambiwa kistaarabu ila angepisha ingekua bora zaidi.
Mkuu mm huwa najiulza kwa nn wanapenda sana wapate sifa kwa vtu visivyo na maana? ivi huwa kuna ulazma polisi kukaa akiwa amevuta sura kla muda hata kama hakuzaliwa ivyo ili watu waogope? Kwan mtu akieleweshwa vizur bila mikwara hawez kuelewa ? Mnataka kunambia RAIA(nasema RAIA maana jwtz alikua amevaa kiraia na polisi pia alzani ni RAIA ambao kla siku sana makovu ya makofi ya polisi kwa kukutwa SAA tatu usku barabaran) ambaye labda alitaka kutoa ela ATM kuna ulazma wa kumharass kwa kumuelekezea silaha ya moto huku akiwa hana silaha ameshka tu kadi ya ya ATM? Hata kama ni eneo hatar muda huo ukiongea vizur kua apishe kuna utaratibu unafanyika kwel hawez kuondoka?Mie nitasema kitu kimoja kwa Askari Polisi wetu, waache ubabe.. Magwanda wanayovaa na silaha wanazoshika zisiwape kiburi na kuacha kutumia hekima na busara.. Wawe wanaongea na kuelekeza bila ya kuwawekea raia kibesi.. Kwa mujibu wa maelezo hapo juu, marehemu hakutumia kauli ya kibusara katika kumuelekeza huyo askari wa JWTZ.. Naamini angetumia kauli ya busara, basi angekuwa bado yupo hai.. Nimeshaona na mwenyewe kukutana na kauli za kibabe na kutisha toka kwa hawa Askari wetu..
Kwel kule kweny malez jwtz huwa kuna kamwimbo flan ka kuwaponda polisi "..polisi ....Wetu wakilikoroga watalinywaaa Leooo leoooo polisi ....Wetu.. Sasa nazan alipowaona polis yule jwtz alikumbuka kawimbo kao akaona polis kalikoroga ivyo anatakiwa alinyweTatizo la hao ni kwamba wamelelewa na TPDF muda mwingi na siunajua tena kule polisi wanavyoitwa sasa wakienda mafunzo ya upolisi wanakuwa na mapuuza sana
Ww muongo mm nlikua CCP siku moja na mlenga shabaha na mpiga kwata wazur walikua wamepitia Jkt na mmoja alikua rafki yetu sasa huo unanga unaosema ni wa wapi? Unless unambie ujui nanga ni nn?Una wazungumziaje police wanao toka jkt maana wengi ni mananga wanacho jua wao ni kulima tu.. Nahisi ndio wanacho fundishwa, alfu mafunzo ya polisi ni miezi 9 mkuu sio 6 km zamani.
Kirai sema watu wanamiemukoHuyo mjeda alikuwa amevaa uniform au kiraia tu?
Na kwa Nape piaHii inaonyesha askari Polisi hawana mafunzo ya kutosha ya matumizi ya silaha. Ndio maana ni vituko tuu kama tulivyoona kwa Malima, kule Morogoro au hata kwa Akwilina
Sijawahi ona!Usichokifahamu usijaribu kukitolea ufafanuzi mkuu.
JKT miezi 6
Polisi miezi 9
Jwtz kuanzia miezi 4 mpaka 6.(inategemeana na wanavyoelewa kwa uharaka).
Kumbuka mtu anayetokea JKT kwenda polisi miezi ya kozi hubakia ile ile 9 ina maana Kama ni suala la muda basi mtu wa JKT anapoenda upolisi basi atakua kapiga kozi muda mrefu sana kuliko hata Jwtz .
Kozi wanazopiga wakiwa kazini hutegemea nature ya kazi zao.
Sikuhizi hata Polisi wanatoa JKT
Una wazungumziaje police wanao toka jkt maana wengi ni mananga wanacho jua wao ni kulima tu.. Nahisi ndio wanacho fundishwa, alfu mafunzo ya polisi ni miezi 9 mkuu sio 6 km zamani.
Kwa iyo vituo vinafungwa na je magereza pia wanalinda jeshi au wadungwa wote wanaachiwa huru?Kenya wakat iltaka kupinduliwa 1982 fuatia police waliambiwa watakua RAIA weme kuanzia muda huo wa matangazo na mtangazaji aliyekua anaitwa Leonard Mambo mbotela ndiye aliye amrishwa atangaze ...Mara nyingi kweny mapinduz ndivyo inavyotokea ...