Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

duuu, hapo ndo ujue kuwa weled ktk jeshi letu la polisi hamna kabisa, pia ata mwanajeshi hakuwa na hekima hata kidogo na anatakiwa kuadhibiwa vikali, haiwezekan umeshapewa tahadhali ya kutoka eneo hilo na unaona kabisa kitu kinachoendelea kwa mjibu wa sheria na kiusalama, halafu ww unadinda eti kisa ww ni mwanajeshi yaan alishindwa kutambua kwamba hapo kuna tukio linalohitaji usalama zaid, na alikosea zaid alipoishika silaha ya afande kama ni kweli, hapa polisi walitakiwa wamkamate kwa nguvu then wampe kichapo cha mbwamwitu ili ajue kuwa kaingia cha kike, askali aliyerusha risasi hakutumia weled wa kazi.
[HASHTAG]#kichapo[/HASHTAG] cha mbwa mwitu.
 
Kumbe ndio maana[emoji41] [emoji41] basi ngoja waendelee kufukuza moto sisi raia tuone watakavyokuwa wanapasuliwa, tuje kuchangia kwenye nyuzi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Mkuu endelea kujipa nguvu ila sisi ndio tunaojua udhaifu wa wajeshi wetu yani wanapigwa mbaka na raia then wanaenda kujikusanya kikosini ndio wanakuja kupiga wasio na hatia. Wana misifa sana ila hamna kitu ya afadhali kidogo makomando wapo vizuri.
 
Mkuu endelea kujipa nguvu ila sisi ndio tunaojua udhaifu wa wajeshi wetu yani wanapigwa mbaka na raia then wanaenda kujikusanya kikosini ndio wanakuja kupiga wasio na hatia. Wana misifa sana ila hamna kitu ya afadhali kidogo makomando wapo vizuri.
polo ukimpiga askari jeshi mmoja haina maana kuwa umepiga wote.
Kuna askari wapo vizuri na wapo mananga kila jeshi hao wapo.Na suala la nidhamu hilo ni hulka na tabia za mtu
 
duuu, hapo ndo ujue kuwa weled ktk jeshi letu la polisi hamna kabisa, pia ata mwanajeshi hakuwa na hekima hata kidogo na anatakiwa kuadhibiwa vikali, haiwezekan umeshapewa tahadhali ya kutoka eneo hilo na unaona kabisa kitu kinachoendelea kwa mjibu wa sheria na kiusalama, halafu ww unadinda eti kisa ww ni mwanajeshi yaan alishindwa kutambua kwamba hapo kuna tukio linalohitaji usalama zaid, na alikosea zaid alipoishika silaha ya afande kama ni kweli, hapa polisi walitakiwa wamkamate kwa nguvu then wampe kichapo cha mbwamwitu ili ajue kuwa kaingia cha kike, askali aliyerusha risasi hakutumia weled wa kazi.
Polisi Wetu wana zarau sana!!labda walimpa tahadhari na matusi mazto juu ili wauze mbele ya raia kwan nan asiye wajua kwa mauzo? Nae mwanajeshi pengine hakupenda watu wauze kupitia mgongo wake..
 
Nchi yeyeto ile polisi siyo lolote siyo chochote mbele ya Jeshi. Kikinuka polisi wanaamriwa KAENI KAMA RAIA! Amini usiamini polisi wanavua magwanda na kwenda kujificha mvunguni mwa vitanda vyao. Jeshi siyo polisi bwana.
Nchi gan mkuu walowahi kufanya ivyo samahan lakini naomba unielimishe
 
Mkuu endelea kujipa nguvu ila sisi ndio tunaojua udhaifu wa wajeshi wetu yani wanapigwa mbaka na raia then wanaenda kujikusanya kikosini ndio wanakuja kupiga wasio na hatia. Wana misifa sana ila hamna kitu ya afadhali kidogo makomando wapo vizuri.
Unazungumziaje hilo la polisi wawili wenye silaha kuzinguliwa na mjeshi mmoja asiye na silaha?
 
Stori: Richard Bukos, Dar.

My Take;
Polisi wawili kupambana na Mwanajeshi mmoja asiye na silaha na kuishia kuuana wenyewe
ni picha kuwa hawa wanahitaji mafunzo ya uhakika ili unyonge wao wasiutumie kuwaonea raia wasio hatia

MKuu wewe jiulize tu,
Polisi= Miezi Sita Moshi unaingia mzigoni
Mjeshi= JKT Miezi 9, bado jeshini mafunzo tena.
 
Pole sana Askari wetu.
Ila kwa mtazamo wangu mwanajeshi akifanya kosa ambalo lilipelekea madhara yote hayo.

ATM kukiwa na harakati za kuweka pesa utajua tu, na huna budi kua mpole na kusubiri mpaka utakapoona mambo yamekaa shwari.

Sasa Askari anapokupa amri uondoke hua hana maana anakudharau, kwenye hizo kazi lugha ya amri ndio hutumika hakuna kuomba (99% ni amri tu).

Mwanajeshi kosa kubwa alilotenda ni kugoma kuondoka na kubwa zaidi kushika silaha iliyobebwa na Askari anayetekeleza majukumu yake.
Nafahamu kuna polisi vilaza wengi sana hasa wanapokua wamevaa uniforms but hili lisingefika huko Kama mjeshi angeamua kupisha kistaarabu, nafahamu hakuambiwa kistaarabu ila angepisha ingekua bora zaidi.
 
Karma is a bit....ch
Jeshi la polisi lilifaa liundwe na wasome yaani wenye elimu ngazi ya degree na masters wenye G.P.A 2.5 kwasbb polisi ni msimamizi na muangalizi wa sheria.
Waliofeli form 4 walipaswa kwenda JWTZ, na magereza. Km jeshi la polisi linageuzwa tawi la chama fulani. Unategemea nini kitatokea? Raisi anasema hakuna siasa. Je, sheria na katiba zinasemaje? Leo ccm wakifanya mkutano hakuna shida sasa ngoja vyama upinzani vifanye mkutano. Polisi watakuja kuvamia utafikiri hapo ni mkutano wa kikundi cha magaidi.
Jiulize km hapo. Mtu hana bunduki lkn unamtishia bunduki halafu cha kushangaza mwenzake analenga tu hana hata shabaha.
Hapo kulikuwa hakuna haja ya kutumia silaha. Ni mazungumzo tu sbb wote wapo kwenye sekta moja lkn vitengo tofauti.
Kazi kweli kweli
Yani we na Masters yako uende kulinda bank usiku kucha??
Izo ni kazi za watu ambao shule imewashinda...
Cha msingi wafundishwe weledi wa kazi zao na ni wakati gani unaruhusiwa kutumia silaha ya moto....
Wengine wapewe virungu tu na sio SMG
 
Huyu mwanajeshi ni hodari wa kujikinga.
Nahisi aliona mfyatua risasi anamlenga kisha akamuweka polisi kama kinga.
Polisi haruhusiwi kufyatua risasi kwa mtu ambaye hana silaha.
Ingetokea mwanajeshi amemnyang'anya polisi silaha na kutaka kuitumia kupiga, polisi angekuwa na haki ya
kutumia silaha yake.
Kuna mapungufu makubwa sana kwa polisi wetu katika kanuni za kutumia silaha za moto wakati wa matukio madogo.
Simtetei polisi aliyepiga risasi ila kumbuka kitendo cha mtu asiyekua na dhamana ya kushika/kugusa silaha anapogusa silaha tu tafsiri yake hua ni kunyang'anya silaha.

Hata wewe na Mimi ikitokea Askari tukagusa bunduki yake tafsiri yake ni kwamba tunataka kumpora silaha, hilo yule mwanajeshi alilifahamu kwani ni sehemu ya mafunzo yake sema alishika kwakua anaamini hapaswi kupewa amri na polisi, kuna ile superiority complex (hali ya Askari wa jeshi flani kujiona yeye ni bora zaidi)

Askari wote walikosa busara, but mwanajeshi alikosa busara zaidi.
Nina hakika angekubali kupisha, na Kama asingeshika silaha ile basi yote yasingetokea.

Polisi hawapendwi nafahamu[emoji23] [emoji23]
 
MKuu wewe jiulize tu,
Polisi= Miezi Sita Moshi unaingia mzigoni
Mjeshi= JKT Miezi 9, bado jeshini mafunzo tena.
Usichokifahamu usijaribu kukitolea ufafanuzi mkuu.

JKT miezi 6
Polisi miezi 9
Jwtz kuanzia miezi 4 mpaka 6.(inategemeana na wanavyoelewa kwa uharaka).

Kumbuka mtu anayetokea JKT kwenda polisi miezi ya kozi hubakia ile ile 9 ina maana Kama ni suala la muda basi mtu wa JKT anapoenda upolisi basi atakua kapiga kozi muda mrefu sana kuliko hata Jwtz .

Kozi wanazopiga wakiwa kazini hutegemea nature ya kazi zao.
 
Yani we na Masters yako uende kulinda bank usiku kucha??
Izo ni kazi za watu ambao shule imewashinda...
Cha msingi wafundishwe weledi wa kazi zao na ni wakati gani unaruhusiwa kutumia silaha ya moto....
Wengine wapewe virungu tu na sio SMG
Hujajua maisha wewe.
Masters inakaa kwenye makaratasi yako
Masters hainunui mchele wala sukari.

Kuna wasomi kibao na wako huko huko unakodharau wewe.
 
Hujajua maisha wewe.
Masters inakaa kwenye makaratasi yako
Masters hainunui mchele wala sukari.

Kuna wasomi kibao na wako huko huko unakodharau wewe.
My point is hakuna haja ya kupoteza gharama na muda wa kusoma iyo masters wakati kazi unayoenda kufanya ni kulinda bank ama kusubiri maandamano upige watu mabomu...
Ndo mana wenyewe wanachukua watu waliotaga
 
My point is hakuna haja ya kupoteza gharama na muda wa kusoma iyo masters wakati kazi unayoenda kufanya ni kulinda bank ama kusubiri maandamano upige watu mabomu...
Ndo mana wenyewe wanachukua watu waliotaga
Wengine baada ya kusoma sana kwa kutumaini kuwa watapata kaxi, so wakikosa kazi ndio pale tumaini hulielekeza kwenye kazi yoyote itakayojitokeza ndio hiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom