DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Mtume Muhammad siku moja alikuwa amekaa na swahaba wake Abubakar akatokea mtu mmoja akawa ana mtukana Abubakar.,mara kwanza hakujibu mara pili haukujibu alipoona matusi yamezidi akajibu ,alipojibu tu mtume akasimama Kwa hasira akamuacha Abubakar peke yake ,nakumtafsiria baadae kuwa ulipokuwa kimya malaika wema walikuwa wamekuzunguka ulipojibu malaika waliondoka na shetani kukuvaa,
Sasa Sheikh kweli wewe ndo wakwenda kujibizana na mange?mara ngapi waislamu wanawalaumu nyinyi na bakwata juu yanayoendelea juu ya waislamu na upo kimya , masheikh wa uamsho walilamika juu ya vitendo vya kinyama ulikaa kimya Leo naona umeguswa ,na Kwa huyo ulomvagaa ni chizi tarajia matusi kwako na familia yako ,busara ilikuwa kukaa kimya.
 
Mkuu nimesema mm au kasema Mange,
Picha nnayo sema mm siyo hiyo,hiyo ni unayoitaka wewe kwa malengo yako
 
Siasa na dini havijawahi mwacha mtu salama .Mm mwenyewe huyu sheikh cjamuelewa cjui dini anaijua kweli maana kukaa kimya ni moja ya njia sahihi sasa ww kiongozi wa dini unajibishana na mtu km Mange kweli Allah aturehemu
 
Siku zote nilikua ANT-BAKWATA na ntaendelea kuwa hivyo japo sifikii mpaka kuwavunjia heshima viongoz wao ila kuanzia leo nimemshusha hadhi huyu jamaa to the extent that namuona km hajielew zaid. Hiv sheikh mzima unamjib Mange Kimambi (MK) halafu unaita kabsa waandish wa habar. Dah asee hasara sana hii. Toka nimeanza kumfatilia MK wewe ndio mtanzania wa kwanza kuitisha press kujib shutuma zake. Yaan amezidiwa busara mpaka na lemutuz. Halaf ujue uongoze waislam, kwel wonders shall never end.
 
Kakobe,gwajima wametoa support waziwazi haikuwa tatizo,Leo hii mzee wa watu kuonekana kwenye picha na ishu zingne tu na sio kampeni imekuwa shida.
Full matusi kila kona...kuweni na adabu na ndio maana sina chama ni uhmshuzi mtupu.
 
Kumbe huyu jamaa ni mweupe kiasi hiki! Mahakama ya mbingu gani hiyo ambayo tiyari hukumu yake anaijua? Nakumbuka maneno ya mwana falsafa mmoja kuwa watu dhaifu hulipa visasi, watu wenye nguvu husamehe na wenye busara hupuuza
 
Kakobe,gwajima wametoa support waziwazi haikuwa tatizo,Leo hii mzee wa watu kuonekana kwenye picha na ishu zingne tu na sio kampeni imekuwa shida.
Full matusi kila kona...kuweni na adabu na ndio maana sina chama ni uhmshuzi mtupu.
Baada ya kutoa sapoti huko
Hawakiwalaumu wanaotoa sapoti kwingine,
Huyu aliwalaumu walioonesha kuulaumu upande anaosapoti yy shehe,hapo ndo mwanzo wa saga
 
Ninacho jaribu kukuelewesha ni kuwa!
HUKUMU YAO MWACHIENI ALIYO MWEKA HAPO!
Sijasema kwamba wao ni watakatifu!
Ungeijua hiyo story ya MFALME SAULI NA DAUDI ndiyo ungejua nia Yangu ni nini!
Tujaribu kusoma hivi vitabu vya dini, yeyote tu, huwa vinasaidia sana kutupa mwongozo wa maisha haswa kwa vizazi vyetu na hata taifa kwa ujumla!
 
Mkuu umenichekesha
eti mange n mwana tanu [emoji41] [emoji1] [emoji1]
 
Kajidharirisha kwakweli sheikh tena wa mkoa wa DSM
Inasikitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…