Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,113
labda kama tuna imani tofauti... mungu anakupa kwa hitaji lako... hata ukitaka kuua...! au mpaka tukupe aya mkuu...! mungu sio wako pekee... ni wawote... wabaya, watakatifu... nk wanyama...
Mbona hiyo ni rahisi! Mawazo yake, msimamo wake, falsafa na mchanyikonwa Ideas zake, unatosha kukunyoosha wewe na wengine wote wenye kiherehere cha kuifia Ccm. Najua unamfollow kila siku kwenye akaunti yake ya Instagram.I know nothing about you, you know nothing about me and that Mange of yours know nothing about me either ... sasa "kuninyoosha" huko kwa lipi? ...
Haha hahaNani ampelekee kaptura lake na yeye anasifa ya kugeuka nyuma mbele haendi .. Aliyeokota kaptura lake bado kajificha hana mpango wa kumpelekea maana nae usalama wa pindo zake utakuwa mashakani. Si unajua tena [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Haitasaidia nikikwambia nimetokea sura gan,ya wap,na ya nani cha msingi ni wajibu wa kila mmoja wetu kukemea uovu unaojitokeza na utakaojitokeza katika jamii inayotuzunguka.
Shekhe amemzungumzia mange kutokana na vitendo vyake vya kuudhi,kebehi,kashfa na lugha chafu ambazo si stahiki kwa jamii yetu hii ya "hapa kazi tu"
binafsi naunga mkono tamko hili na pia ni wito kwa viongozi wa dini kuendelea kukemea maovu yatakayojitokeza.
Huu ni mfano wa kuigwa.hakuna personal interest yeyote kama wengi wanavyodai.
Na
yeddy guyy
[Gemstone dealer]
Mkuu kwa madhambi aliyoanika Kimambi bado Quran itafanya kazi?labda Quran uchwaraMsichezee imani za watu, subirini muone. Kuna visomo kaka wewe au sijui dada wewe au ndio mange mwenyewe. Usicheze na Qur’an! Huyo Mange Sio kama atakufa ila ataacha kutukana Watu.
Kama ile ya kula DUBURI sheikh kama kweli ataungua moto mbaya sanaMkuu kwa madhambi aliyoanika Kimambi bado Quran itafanya kazi?labda Quran uchwara
Polisi walitumwa kusambaratisha watu mkuuHivi ile albadili iliyo somwa kwa walio mpiga Tundu Lisu iliwapata?
Ushawahi muuliza kakobe kwanini anaona mapungufu ya SERIKALI tu na sio upinzani?Sheikh umechemsha, Mdomo wako kwa kunena na kuwa MNAFIKI, ndume la kuwili, mzandiki, mchovu, muongo na unatafuta umaarufu kwa kukaribishwa kahawa ikulu.
Unaipigia kampeni kwa CCM. Kwa nini unaalikwa na CCM tu kama upo kwenye kamati ya AMANI.
Nenda ukamuamkie BASHITE.
Unafanya kampeni kwa CCM, NA USINGEFANYA USINGELIALIA. LAANA INAKUPATA. pOLE SANAAAAAAAAA Sheikh ubwabwa.
We nae, huyo shekhe anajulikana ni ccm, embu angalia picha nyingineKwanini mnapenda kumtetea mange ktk kila jambo? Ktk hili swala mange amekosea sana tena sana iwe sio shek iwe sio padri...yeye mange hana mamlaka wala chujio la kutuonyesha yupi shek na yupi padri.......hii ndio post ya mwanzo ya mange hapa alikuwa anataka kuaminisha watu kuwa shek yupo ktk siasa...wakati ukwel wa hio picha hao watu waccm wamekwenda ktk msiba wamekuta mashek wapo msibani hio sehem ya msiba aikuwa mbali na sehem zao za kampeni ..kukosea kwa Mange kunaanzia hapa kwanza
Kwani upinzani ndio unaongoza nchi?Ushawahi muuliza kakobe kwanini anaona mapungufu ya SERIKALI tu na sio upinzani?
Nini wajibu wa kiongoz wa dini ktk kukisaidia chama kinachotaka kuwa mbadala wa chama tawala?Kwani upinzani ndio unaongoza nchi?
Nachozungumzia hio picha na hapo alipo sio tawini ccm ni msibaniWe nae, huyo shekhe anajulikana ni ccm, embu angalia picha nyingine