Weka picha yako atumiwe ndo utamjua ni nani, hahahahaI know nothing about you, you know nothing about me and that Mange of yours know nothing about me either ... sasa "kuninyoosha" huko kwa lipi? ...
Kwani upinzani ndio ina mamlaka ya kuongoza nchi, is this for real umeuliza au unatania tu mkuu.Ushawahi muuliza kakobe kwanini anaona mapungufu ya SERIKALI tu na sio upinzani?
Bahati nzuri wafuasi wake ni wale wote wanaozijua habari zake, wanamfuatilia kwa kila anachopost, na kuchangia au kuanzisha hoja zinazomuhusu iwe kwa kumfurahia au kumchukia.. hata wewe ungekuwa sio mfuasi wa mange wala tusingeona comment yako humu kwa sababu huwezi kucomment kwa mtu usiyemjuaMunashangilia ugomvi bila kufahamu nguruwe ni yupi kati yao. Tulio wasafi hatuna sababu ya kumpongeza yoyote kati ya hawa. Binafsi sijui usafi wa Sheikh ingawa naelewa tatizo la huyo Kimambi ambaye nahisi hana ajira ya kudumu zaidi ya matusi kwa kila anayemkera. Elimu yake pia ni mashaka maana mwenye uelewa huvumilia hata pale asipotaka.
Bahati mbaya Mange kisha pata wafuasi. Naamini ni wa ubora wa aina yake.
kama hamjui mange itafikia hatua sheh atatembea akiongea mwenyewe njiani,anacheza na Mange kimambi! ametingwa.
Atamshitaki kwenye mahakama ya mbinguni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shekhe si aseme tu atakaa na benchi lake la ufundi kumshughulikia? Any ways sijui tumpe muda gani maana Lusekelo alisema hadi kufikia mwezi wa tatu mwaka jana, waandishi wote walio mchafua watakuwa wamesha kata moto (kufariki) na isipo tokea hivyo atarudi Mwakaleli kunywa gongo [emoji23]
Kakobe hajawahi kujenga wengine wasichanganye dini na siasa.Ukisema kitabu cha with wafalme Katika biblia utaona manabii walivyokuwa wanawagonga wafalme kwa kuwakosoa.Kwani upinzani ndio unaongoza nchi?
Si yeye mwenyewe amekuwa akiwataka viongozi wa kiroho(read: Maaskofu) wanyamaze?Viongozi wa kiroho kama usemavyo wewe wakinyamaza muda wote ... ni nani huyo atakaekemea uovu?
hongereni kwa IBADA yenu kwa huyooooooo alowa-pagawisha na kuwa-duwazaWeka picha yako atumiwe ndo utamjua ni nani, hahahaha
Do you enjoy Mange's INSULTS?Mange kiboko duh,sheikh wa watu atajuta kutumia cheo chake kutishia watu,kwa kweli kama hajapata pressure,ataipata soon
Nazipokea hongera zako kwa mikono miwili.hongereni kwa IBADA yenu kwa huyooooooo alowa-pagawisha na kuwa-duwaza
Sema km hatatubuKama ile ya kula DUBURI sheikh kama kweli ataungua moto mbaya sana
Lkn hawakosoi wanaoishabikia serikali,yy husema anayoona,Ushawahi muuliza kakobe kwanini anaona mapungufu ya SERIKALI tu na sio upinzani?
Ama Mzee lowasa,Sheikh angejifunza ustahimilivu na ustaarabu wa kujibu kutoka kwa Askofu Kilaini wa Kanisa Katoliki!
Mkuu unataka umjumuishe ktk kurogeka?Do you enjoy Mange's INSULTS?
Simjui wala hanijuiMkuu unataka umjumuishe ktk kurogeka?
Ushabiki wa kisiasa bado haujafikia na haupaswi kufikia hatua hiyo ya kuwatusi wanadamu wenzio ...Nivyoowambiiaga ukiwa shabiki wa ccm Lazima uwe mfiraji au mfirwaji hamunielewi!!!! Sasa mwaka huu mtazijua tabia za wapenzi na washabiki wa ccm....