Mkuu..Wanastahili hongera kwakweli kwa uishinda Tukuyu Stars si kazi rahisi na hatimaye kufuzu hatua ya makundi klabu bingwa.Hahaha.. Soon nitarejea Mtani. Ila kwanza hongereni kwa ushindi mzito dhidi ya 'timu ngumu' ya Tukuyu Stars.
Asante. Hongereni kumwondoa Nkana Kiongozi.
Lakini Nkana kaondoka roho ya mtu. Former kit manager.
Mkuu, hapo mnabeza kiana, mkumbuke Tukuyu Stars ni former Champion wa nchi hii.Mkuu..Wanastahili hongera kwakweli kwa uishinda Tukuyu Stars si kazi rahisi na hatimaye kufuzu hatua ya makundi klabu bingwa.
Mkuu..Wanastahili hongera kwakweli kwa uishinda Tukuyu Stars si kazi rahisi na hatimaye kufuzu hatua ya makundi klabu bingwa.
Mkuu, hawezi kupumzika kwa amani, ilikuwa kafara mshinde.Nimeipata hiyo Mkuu.. Ila ile gemu ya Nkana ilikua ya moto sana. Apumzike kwa amani. Tunachoenda kukifanya katika hatua ya makundi, naamini atakua proud na Mnyama.
Mkuu, hapo mnabeza kiana, mkumbuke Tukuyu Stars ni former Champion wa nchi hii.
Mkuu, hawezi kupumzika kwa amani, ilikuwa kafara mshinde.
Yanga si tu ni former Champion, ni historical Champions - hadi vizazi na vizazi.Hahaha.. Ni kweli Mkuu.. Ndo mana nikaiita timu ngumu, mana ni Former Champion kama Yanga SC.
Mkuu, usikwepeshe hilo.Kwanini unasema ni kafara? Unauhakika?
Mkuu, hapo mnabeza kiana, mkumbuke Tukuyu Stars ni former Champion wa nchi hii.
Ukiamini hivyo na tuamini kuwa hata Ally Yanga ni kafara kweli?Mkuu, usikwepeshe hilo.
Fikiria kila mechi ya makundi iwe hivyo. Mashabiki wenu wapo hatarini.
Mkuu, usikwepeshe hilo.
Fikiria kila mechi ya makundi iwe hivyo. Mashabiki wenu wapo hatarini.
Issue ya mishahara tuachieni wenyewe. Kazi yetu ni point uwanjani. With or without mishahara.Mkuu..Ndo maana tumesema kazi haikuwa rahisi, kwavile ni bingwa wa zamani
Ila angalizo letu hizo hela mlizopata katika kufuzu makundi jitahidini walau kulipa mishahara pamoja na madeni
Haitatokea kamwe Kamati za Ufundi mzipe kisogo. Si leo wala kesho.Mkuu, hayo mambo ya kamati za ufundi tulishayapa kisogo mda sana.. Sasa hivi mpira wetu ni uwanjani tu, na si vinginevyo na hiki ndicho anachoamini Profesa Patrick Aussems.
Hebu rudia kuangalia tena ile migoli ya Mnyama.. Kuna uchawi pale?! Ni akili nyingi sana zilitumika. Kwa kifupi, mtapata sana msimu huu.
πππSina hamu nduguyo. π. Vp lakini Dada wameshakwambia Chama keshaoa au bado? ππππ
Wakati huo tushatwaa ndoo ya TPLLengo letu la kwanza limeshatimia. Kuingia kwenye makundi. Baada ya hapo everything is possible.Tutasajili kuiongezea timu nguvu na kufanya matayarisho ya maana.
Makundi yataanza mwezi wa 5 mwakani.
Ahsante sana Mkuu Karibu sana,tupo tunasherehekea kwenda MakundiMkuu nipo ila majukumu yameniweka busy ndani ya hii miezi miwili mitatu, ila soon nitarejea.
Tuko pamoja Mkuu.