Dar: Utata vifo vya vijana watatu, kuna nini vituo vya polisi?

Dar: Utata vifo vya vijana watatu, kuna nini vituo vya polisi?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Utasikia mtuhumiwa alijinyonga.

Utasikia alikimbia na pingu akapigwa risasi.

Utasikia alitii bila shuruti...

Sasa hawa nao ilikuwaje?
👇
20221005_074715.jpg
 
Kuna fikra zimejengeka kwenye vichwa vya wengi kwamba polisi na raia ni maadui
Kubadilisha hii fikra kuna umuhimu wa kuelimishana pande zote mbili
 
Vijana tuache shughuli za ubabaifu tufanye kazi halali/biashara halali.
 
Tuna majambazi in uniforms!!,shoot to kill inafanyika tu,maisha ya raia au police yanapokua hatarini sio zaidi ya hapo, suspect kama anakimbia KUTOKA kwenye crime scene, police HAWARUHUSIWI kumpiga risasi, ni lazima watumie njia nyingine kumkamata, Mkuu wa usalama wa taifa, anapigwa risasi za kifuani eti alifananishwa na majambazi!,eti alikuwa anawakimbia polisi...one day TIME italeta ukweli..nadhani wanajua watanzania wamesahau sio wote, tuna cold cases nyingi tu including hii ya tapeli masanja, why mwili wa suspect uzikwe kwa haraka vile?je pathology foresinc report (kutoka kwa pathologist )sio medical assistant inasemaje kuhusu cause of death?one day it's a day yote haya yatajulikana pamoja na wahusika kujificha nyuma ya nyumba za ibada
 
Nasikia yule mteni wa mtapigwa mpaka mchakae, na yule ex igp wamekua watu wa sala sana kwenye nyumba za ibada, ni haki yao ila wanaswali nini?,sielewi
 
Back
Top Bottom